< Zaburi 72 >
1 Zaburi ya Solomoni. Ee Mungu, mjalie mfalme aamue kwa haki yako, mwana wa mfalme kwa haki yako.
Bože, daj caru sud svoj, i pravdu svoju sinu carevu:
2 Atawaamua watu wako kwa haki, watu wako walioonewa kwa haki.
On æe suditi narodu tvojemu po pravdi, i nevoljnicima tvojim po pravici.
3 Milima italeta mafanikio kwa watu, vilima tunda la haki.
Rodiæe narodu gore mirom, i humovi pravdom.
4 Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu na atawaokoa watoto wa wahitaji, ataponda mdhalimu.
On æe suditi nevoljnima u narodu, pomoæi æe sinovima ništega, i nasilnika æe oboriti,
5 Atadumu kama jua lidumuvyo, kama mwezi, vizazi vyote.
Bojaæe se tebe dok je sunca i mjeseca, od koljena do koljena.
6 Atakuwa kama mvua inyeshayo juu ya shamba lililofyekwa, kama manyunyu yanyeshayo ardhi.
Siæi æe kao dažd na pokošenu livadu, kao kaplje koje porašaju zemlju.
7 Katika siku zake wenye haki watastawi; mafanikio yatakuwepo mpaka mwezi utakapokoma.
Procvjetaæe u dane njegove pravednik i svuda mir dokle teèe mjeseca.
8 Atatawala kutoka bahari hadi bahari na kutoka Mto mpaka miisho ya dunia.
Vladaæe od mora do mora, i od rijeke do krajeva zemaljskih.
9 Makabila ya jangwani watamsujudia, na adui zake wataramba mavumbi.
Pred njim æe popadati divljaci, i neprijatelji njegovi prah æe lizati.
10 Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali watamletea kodi; wafalme wa Sheba na Seba watampa zawadi.
Carevi Tarsiski i ostrvljani donijeæe dare, carevi Šavski i Savski daæe danak.
11 Wafalme wote watamsujudia na mataifa yote yatamtumikia.
Klanjaæe mu se svi carevi, svi narodi biæe mu pokorni.
12 Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia, aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.
Jer æe izbaviti ubogoga koji cvili i nevoljnoga koji nema pomoænika.
13 Atawahurumia wanyonge na wahitaji na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.
Biæe milostiv ništemu i ubogom, i duše æe jadnima spasti.
14 Atawaokoa kutoka uonevu na ukatili, kwani damu yao ni ya thamani machoni pake.
Od prijevare i nasilja iskupiæe duše njihove, i skupa æe biti krv njihova pred oèima njegovima.
15 Aishi maisha marefu! Na apewe dhahabu ya Sheba. Watu wamwombee daima na kumbariki mchana kutwa.
Oni æe dobro živjeti, i donijeæe mu zlato iz Šave; i svagda æe se moliti za njega, i svaki æe ga dan blagosiljati.
16 Nafaka ijae tele katika nchi yote, juu ya vilele vya vilima na istawi. Tunda lake na listawi kama Lebanoni, listawi kama majani ya kondeni.
Biæe pšenice na zemlji izobila; po vrhovima gorskim lelijaæe se klasje njezino kao Livanska šuma, i po gradovima cvjetaæe ljudi kao trava na zemlji.
17 Jina lake na lidumu milele, na lidumu kama jua. Mataifa yote yatabarikiwa kupitia kwake, nao watamwita aliyebarikiwa.
Ime æe njegovo biti uvijek; dokle teèe sunca, ime æe njegovo rasti. Blagosloviæe se u njemu, svi æe ga narodi zvati blaženim.
18 Bwana Mungu, Mungu wa Israeli, apewe sifa, yeye ambaye peke yake hutenda mambo ya ajabu.
Blagosloven Gospod Bog, Bog Izrailjev, koji jedan èini èudesa!
19 Jina lake tukufu lisifiwe milele, ulimwengu wote ujae utukufu wake.
I blagosloveno slavno ime njegovo uvijek! slave njegove napuniæe se sva zemlja. Amin i amin.
20 Huu ndio mwisho wa maombi ya Daudi mwana wa Yese.
Svršiše se molitve Davida, sina Jesejeva.