< Zaburi 72 >
1 Zaburi ya Solomoni. Ee Mungu, mjalie mfalme aamue kwa haki yako, mwana wa mfalme kwa haki yako.
Salomonov. Bože, sud svoj daj kralju i svoju pravdu sinu kraljevu.
2 Atawaamua watu wako kwa haki, watu wako walioonewa kwa haki.
Nek' puku tvojem sudi pravedno, siromasima po pravici!
3 Milima italeta mafanikio kwa watu, vilima tunda la haki.
Nek' bregovi narodu urode mirom, a brežuljci pravdom.
4 Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu na atawaokoa watoto wa wahitaji, ataponda mdhalimu.
Sudit će pravo ubogim pučanima, djeci siromaha donijet će spasenje, a tlačitelja on će smrviti.
5 Atadumu kama jua lidumuvyo, kama mwezi, vizazi vyote.
I živjet će dugo kao sunce i kao mjesec u sva pokoljenja.
6 Atakuwa kama mvua inyeshayo juu ya shamba lililofyekwa, kama manyunyu yanyeshayo ardhi.
Sići će kao rosa na travu, kao kiša što natapa zemlju!
7 Katika siku zake wenye haki watastawi; mafanikio yatakuwepo mpaka mwezi utakapokoma.
U danima njegovim cvjetat će pravda i mir velik - sve dok bude mjeseca.
8 Atatawala kutoka bahari hadi bahari na kutoka Mto mpaka miisho ya dunia.
I vladat će od mora do mora i od Rijeke do granica svijeta.
9 Makabila ya jangwani watamsujudia, na adui zake wataramba mavumbi.
Dušmani će njegovi preda nj kleknuti i protivnici lizati prašinu.
10 Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali watamletea kodi; wafalme wa Sheba na Seba watampa zawadi.
Kraljevi Taršiša i otoka nosit će dare, vladari od Arabije i Sabe danak donositi.
11 Wafalme wote watamsujudia na mataifa yote yatamtumikia.
Klanjat će mu se svi vladari, svi će mu narodi služiti.
12 Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia, aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.
On će spasiti siromaha koji uzdiše, nevoljnika koji pomoćnika nema;
13 Atawahurumia wanyonge na wahitaji na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.
smilovat će se ubogu i siromahu i spasit će život nevoljniku:
14 Atawaokoa kutoka uonevu na ukatili, kwani damu yao ni ya thamani machoni pake.
oslobodit će ih nepravde i nasilja, jer je dragocjena u njegovim očima krv njihova.
15 Aishi maisha marefu! Na apewe dhahabu ya Sheba. Watu wamwombee daima na kumbariki mchana kutwa.
Stog' neka živi! Neka ga daruju zlatom iz Arabije, nek' mole za njega svagda i neka ga blagoslivljaju!
16 Nafaka ijae tele katika nchi yote, juu ya vilele vya vilima na istawi. Tunda lake na listawi kama Lebanoni, listawi kama majani ya kondeni.
Nek' bude izobila žita u zemlji, po vrhuncima klasje neka šušti k'o Libanon! I cvjetali stanovnici gradova kao trava na livadi.
17 Jina lake na lidumu milele, na lidumu kama jua. Mataifa yote yatabarikiwa kupitia kwake, nao watamwita aliyebarikiwa.
Bilo ime njegovo blagoslovljeno dovijeka! Dok je sunca, živjelo mu ime! Njim se blagoslivljala sva plemena zemlje, svi narodi nazivali blaženima!
18 Bwana Mungu, Mungu wa Israeli, apewe sifa, yeye ambaye peke yake hutenda mambo ya ajabu.
Blagoslovljen Jahve, Bog Izraelov, koji jedini tvori čudesa!
19 Jina lake tukufu lisifiwe milele, ulimwengu wote ujae utukufu wake.
I blagoslovljeno slavno mu ime dovijeka! Sva se zemlja napunila slave njegove! Tako neka bude. Amen!
20 Huu ndio mwisho wa maombi ya Daudi mwana wa Yese.
Time se završavaju molitve Jišajeva sina Davida.