< Zaburi 71 >

1 Ee Bwana, nimekukimbilia wewe, usiache nikaaibika kamwe.
YYAJAGO, O Jeova, nae jupolo y inangococo: ya chajo mamámajlao para taejinecog.
2 Kwa haki yako uniponye na kuniokoa, unitegee sikio lako uniokoe.
Nalibreyo, nii tininasmo ya rescatayo: naapo y talangamo guiya guajo ya unsatbayo.
3 Uwe kwangu mwamba wa kimbilio, mahali nitakapokimbilia kila wakati; toa amri ya kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.
Jago y acho y saga para guajo, anae mafatoyo todo y tiempo: jago mannae tinago na jumasatbayo: sa jago y finitmeco yan y castiyujo.
4 Ee Mungu wangu uniokoe kutoka kwenye mkono wa mwovu, kutoka kwenye makucha ya watu wabaya na wakatili.
Rescatayo, O Yuusso, juyong gui canae y manaelaye yan y canae y ti manunas yan y manrecto na taotao.
5 Kwa kuwa umekuwa tumaini langu, Ee Bwana Mwenyezi, tegemeo langu tangu ujana wangu.
Sa jago y ninanggaco, O Jeova Yuus: jago y inangococo desde y pinatgonjo.
6 Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe, ulinitoa tumboni mwa mama yangu. Nitakusifu wewe daima.
Sa jago mumantieneyo desde y jalom tuyan, jago chumuleyo juyong guinin y tiyan nana: ya y tininajo todo y tiempo guiya jago.
7 Nimekuwa kama kioja kwa wengi, lakini wewe ni kimbilio langu imara.
Guajo taegüije y ninamanman gui linajyan; lao jago y megot na guinegüeco.
8 Kinywa changu kimejazwa sifa zako, nikitangaza utukufu wako mchana kutwa.
Y pachotto ubula nii tininamo, an y inenramo todot dia.
9 Usinitupe wakati wa uzee, wala usiniache nguvu zangu zinapopungua.
Chamoyo yumuyute gui tiempo y inamcojo: yaguin minetgotto esta jocog chamoyo dumidingo.
10 Kwa maana adui zangu wananisengenya, wale wanaonivizia kuniua wafanya hila.
Sa y enimigujo manadingan contra guajo; yan ayo sija y numanangga y antijo, manafaesen entre sija.
11 Wanasema, “Mungu amemwacha, mkimbilieni mkamkamate, kwani hakuna wa kumwokoa.”
Ylegñija: Diningogüe as Yuus: petsigue ya enchilegüe; sa taya para ulinibregüe.
12 Ee Mungu, usiwe mbali nami, njoo haraka kunisaidia, Ee Mungu wangu.
O Yuus, chamo chachago guiya guajo; Yuusso, nachadig yan para unayudayo.
13 Washtaki wangu na waangamie kwa aibu, wale wanaotaka kunidhuru na wafunikwe kwa dharau na fedheha.
Polo sija ya ufanmamajlao yan ufanlinachae, ayo y contrarion y antijo; polo sija ya ufantinampe nii minamajlao yan y sinala, y umaliligao y dañujo.
14 Lakini mimi, nitatumaini siku zote, nitakusifu zaidi na zaidi.
Lao guajo juananangga todo y tiempo, yan junalala megae y tininajo guiya jago.
15 Kinywa changu kitasimulia haki yako, wokovu wako mchana kutwa, ingawa sifahamu kipimo chake.
Y pachotto usinangan y tininasmo, yan y satbasionmo todot dia: sa ti jutungo y minegaeña.
16 Ee Bwana Mwenyezi, nitakuja na kutangaza matendo yako makuu, nitatangaza haki yako, yako peke yako.
Bae jufalag y minetgot gui as Yuus, Jeova; ya jusangan y tininasmo, magajet, iyomoja namaesa.
17 Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu, hadi leo ninatangaza matendo yako ya ajabu.
O Yuus, jago jagasja fumanagüe yo desde y pinatgonjo; yan asta pago jusangan claro nii ninamanman y chechomo.
18 Ee Mungu, usiniache, hata niwapo mzee wa mvi, mpaka nitangaze uwezo wako kwa kizazi kijacho, nguvu zako kwa wote watakaokuja baadaye.
Pago locue anae estayo bijo ya chungeyo, O Yuus chamoyo dumidingo: asta que jusangan claro nii minetgotmo y manmámamaela na generasion, yan y ninasiñamo cada uno ni ayo y ufanmato.
19 Ee Mungu, haki yako imefika juu katika mbingu, wewe ambaye umefanya mambo makuu. Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?
Yan y tinasmo locue, O Yuus, sumentaquilo; jagasja unfatinas y mandangculo na güinaja sija: O Yuus, jaye uparejumo?
20 Ingawa umenifanya nipate taabu, nyingi na chungu, utanihuisha tena, kutoka vilindi vya dunia utaniinua tena.
Sa jago y fumanuejam mandangculo na pinite yan chinatsaga, siempre unnalâlâjam talo, yan unchulejam talo julo guinin y tinadong y tano.
21 Utaongeza heshima yangu na kunifariji tena.
Aumenta y dinangculoco; yan birajao ya unamamagofyo.
22 Ee Mungu wangu, nitakusifu kwa kinubi kwa ajili ya uaminifu wako; Ee Uliye Mtakatifu wa Israeli, nitakuimbia sifa kwa zeze.
Ya guajo locue bae jualaba jao yan y guitala: magajet, y minagajetmo, O Yuusso: yyajago nae jucantaye yan y atpa, O jagoja na Santos guiya Israel.
23 Midomo yangu itapaza sauti kwa furaha ninapokuimbia sifa, mimi, ambaye umenikomboa.
Y labiosso sendangculo minagofña anae jucantayejao tinina; yan y antijo ni jago munalilibre.
24 Ulimi wangu utasimulia matendo yako ya haki mchana kutwa, kwa maana wale waliotaka kunidhuru, wameaibishwa na kufadhaishwa.
Y jilajo locue jasasangan y tininasmo todot dia: sa innafanmamajlao yan innafaninestotba ayo y umaliligao y dañujo.

< Zaburi 71 >