< Zaburi 70 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Maombi. Ee Mungu, ufanye haraka kuniokoa; Ee Bwana, njoo hima unisaidie.
Müzik şefi için - Anma sunusu için - Davut'un mezmuru Ey Tanrı, kurtar beni! Yardımıma koş, ya RAB!
2 Wale wanaotafuta kuuondoa uhai wangu, waaibishwe na kufadhaishwa; wote wanaotamani kuangamizwa kwangu, warudishwe nyuma kwa aibu.
Utansın canımı almaya çalışanlar, Yüzleri kızarsın! Geri dönsün zararımı isteyenler, Rezil olsunlar!
3 Wale waniambiao, “Aha! Aha!” warudi nyuma kwa sababu ya aibu yao.
Bana, “Oh! Oh!” çekenler Geri çekilsin utançlarından!
4 Lakini wote wakutafutao washangilie na kukufurahia, wale wapendao wokovu wako siku zote waseme, “Mungu na atukuzwe!”
Sende neşe ve sevinç bulsun Bütün sana yönelenler! “Tanrı yücedir!” desin hep Senin kurtarışını özleyenler!
5 Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji; Ee Mungu, unijie haraka. Wewe ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu; Ee Bwana, usikawie.
Bense, mazlum ve yoksulum, Ey Tanrı, yardımıma koş! Yardımcım ve kurtarıcım sensin, Geç kalma, ya RAB!

< Zaburi 70 >