< Zaburi 70 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Maombi. Ee Mungu, ufanye haraka kuniokoa; Ee Bwana, njoo hima unisaidie.
[Psalm lal David, Soko On in Asor] Moliyula, O God! LEUM GOD, kasreyu inge!
2 Wale wanaotafuta kuuondoa uhai wangu, waaibishwe na kufadhaishwa; wote wanaotamani kuangamizwa kwangu, warudishwe nyuma kwa aibu.
Lela tuh elos su srike in uniyuwi In fohsak ac kutangyukla. Lela tuh elos su pwarkin keok luk In folokinyukla ac aklusrongtenyeyuk.
3 Wale waniambiao, “Aha! Aha!” warudi nyuma kwa sababu ya aibu yao.
Lela tuh elos su isrunyu, In mwekinla ke kutangyukla elos.
4 Lakini wote wakutafutao washangilie na kukufurahia, wale wapendao wokovu wako siku zote waseme, “Mungu na atukuzwe!”
Lela tuh elos nukewa su suk kom, Elos in engan ac insewowo. Lela elos nukewa su sang kulo ke molela lom In fahk pacl e nukewa, “God El fulatlana!”
5 Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji; Ee Mungu, unijie haraka. Wewe ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu; Ee Bwana, usikawie.
Nga munas ac sukasrup; Aksaye nu yuruk, O God! Kom kasreyu ac moliyula. O LEUM GOD, aksaye in kasreyu!