< Zaburi 70 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Maombi. Ee Mungu, ufanye haraka kuniokoa; Ee Bwana, njoo hima unisaidie.
Isalakannak, O Dios! Umayka a dagus O Yahweh ket tulongannak.
2 Wale wanaotafuta kuuondoa uhai wangu, waaibishwe na kufadhaishwa; wote wanaotamani kuangamizwa kwangu, warudishwe nyuma kwa aibu.
Mapabainan ken maikuspil koma dagiti mangpadpadas a mangpatay kaniak; maupay ken maibabain koma dagiti agragragsak iti panagtuokko.
3 Wale waniambiao, “Aha! Aha!” warudi nyuma kwa sababu ya aibu yao.
Maupayda koma gapu iti bainda, dagiti mangibagbaga iti “Aha, aha.”
4 Lakini wote wakutafutao washangilie na kukufurahia, wale wapendao wokovu wako siku zote waseme, “Mungu na atukuzwe!”
Agrag-o ken maragsakan koma dagiti mangsapsapul kenka; kanayon koma nga ibaga dagiti mangay-ayat iti panangisalakanmo a, “Maidaydayaw koma ti Dios.”
5 Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji; Ee Mungu, unijie haraka. Wewe ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu; Ee Bwana, usikawie.
Ngem nakurapay ken agkasapulanak; darasem ti umay kaniak, O Dios; sika ti katulongak ken is-ispalennak. O Yahweh, saanmo nga itantan.

< Zaburi 70 >