< Zaburi 69 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi.” Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, niokoe, kwa maana maji yamenifika shingoni.
Gode! Na gaga: ma! Hano da heda: le, na galogoalisi dagoi.
2 Ninazama kwenye vilindi vya matope, pasipo mahali pa kukanyaga, Nimefika kwenye maji makuu, mafuriko yamenigharikisha.
Na da fafu lugudu amoga magufasa. Amogai da osobo ga: nasi da hame gala. Na da hano lugudu amoga gala. Hano gafului da na fabeba: le, na da gela sa: imu gadenei ba: sa.
3 Nimechoka kwa kuomba msaada, koo langu limekauka. Macho yangu yanafifia, nikimtafuta Mungu wangu.
Na da fidima: ne ha: giwane wele sia: nanebeba: le, gufia: i galebe. Na da: gisu da sesa. Na da Dia fidisu ba: musa: hogolalebeba: le, na si da seselei galebe.
4 Wale wanaonichukia bila sababu ni wengi kuliko nywele za kichwa changu; wengi ni adui kwangu bila sababu, wale wanaotafuta kuniangamiza. Ninalazimishwa kurudisha kitu ambacho sikuiba.
Dunu amo da nama bai hamedene ougisa, ilia idi da na dialuma hinabo idi amo baligisa. Nama ha lai dunu da na wadela: musa: bagadewane ogogosa. Ilia da gasa bagade amola na fane legemusa: hanai gala. Ilia da liligi amo na hame wamolai, amo nama samogele lai dagoi.
5 Ee Mungu, wewe unajua upumbavu wangu, wala hatia yangu haikufichika kwako.
Gode! Na wadela: i hou da Dima hame wamolegesa. Dia dawa: ! Na da gagaoui hamoi dagoi.
6 Ee Bwana, ewe Bwana Mwenye Nguvu Zote, wakutumainio wasiaibishwe kwa ajili yangu; wakutafutao wasifedheheshwe kwa ajili yangu, Ee Mungu wa Israeli.
Ouligisudafa Hina Gode Bagadedafa! Na da dunu amo da Dima dafawaneyale dawa: be, ilima na da gogosiasu mae gaguli misa: ma! Isala: ili Gode! Na da dunu amo da Dima nodone sia: ne gadosa, ilima na da gogosiasu mae gaguli misa: ma!
7 Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako, aibu imefunika uso wangu.
Na da Dima fa: no bobogebeba: le, nama ha lai da nama gadebeba: le, na da gogosiasu amoga dedeboi dagoi.
8 Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, mgeni kwa wana wa mama yangu mwenyewe.
Na nolalalia ilia siga, na da sofe misi dunu agoai ba: sa. Amola na sosogo fi da na ga fi misi dunu agoai ba: sa.
9 Kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila, matukano ya wale wanaokutukana yameniangukia.
Na da Dia Debolo Diasuga asigi hou da na dogo ganodini lalu agoane nesa. Dunu da Dima gadele sia: sea, na da Dima madelagiba: le, ilia da defele nama gadesa.
10 Ninapolia na kufunga, lazima nivumilie matusi.
Na da na hou asaboma: ne, ha: i mae nawene esala. Amola eno dunu da nama gadesa.
11 Ninapovaa nguo ya gunia, watu hunidharau.
Na da disa eboboi abula amoga gaga: sa. Amola ilia da na ba: le oufesega: sa.
12 Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga, nimekuwa wimbo wa walevi.
Ilia da logo bega: naba: le sia: daha. Amola adini ba: i dunu da nama oufesega: ne, gesami ge lasa.
13 Lakini Ee Bwana, ninakuomba, kwa wakati ukupendezao; katika upendo wako mkuu, Ee Mungu, unijibu kwa wokovu wako wa hakika.
Be Hina Gode! Na da amo mae dawa: le Dima sia: ne gadomu. Dia eso ilegei amoga nama dabe adole ima. Dia da osobo bagade dunu ilima asigi bagadeba: le, nama adole ima. Bai Dia gaga: ma: ne ilegele sia: i, amo Di da hame gogolesa.
14 Uniokoe katika matope, usiniache nizame; niokoe na hao wanichukiao, kutoka kwenye vilindi vya maji.
Na da fafu amoga bosona dasa: besa: le, na gaga: ma! Nama ha lai dunu, ilia na fasa: besa: le, na gaga: ma! Na da hano lugudu amo ganodini magufasa: besa: le, na gaga: ma!
15 Usiache mafuriko yanigharikishe au vilindi vinimeze, au shimo lifumbe kinywa chake juu yangu.
Hano heda: i da na dedebole fane legesa: besa: le, na gaga: ma! Na da hano wayabo bagade lugudu amoga magufale gela dasa: besa: le, na gaga: ma! Na da bogoi uli dogoiga dasa: besa: le, na gaga: ma!
16 Ee Bwana, unijibu, kwa wema wa upendo wako; kwa huruma zako nyingi unigeukie.
Hina Gode! Dia da mae fisili, noga: idafa asigi hou dawa: Amaiba: le, na sia: ne gadosu amoma adole ima. Nama ba: le guda: ma!
17 Usimfiche mtumishi wako uso wako, uharakishe kunijibu, kwa sababu niko katika shida.
Na da Dia hawa: hamosu dunu. Nama mae wamoaligima! Na da bidi hamosu bagadewane ba: sa. Wahadafa nama dabe adole ima.
18 Njoo karibu uniokoe, nikomboe kwa sababu ya adui zangu.
Nama misini, na gaga: ma! Nama ha lai da na hasalasa: besa: le, na gaga: ma!
19 Unajua jinsi ninavyodharauliwa, kufedheheshwa na kuaibishwa, adui zangu wote unawajua.
Nama ha lai dunu ilia da nama gadesa amola na gogosiama: ne hamosa. Dia da nama ha lai dunu huluane ba: lala.
20 Dharau zimenivunja moyo na nimekata tamaa, nimetafuta wa kunihurumia, lakini sikumpata, wa kunituliza, lakini sikumpata.
Ilia da nama bagadewane gadebeba: le, na da gala: la sa: i agoai ba: sa. Na da heawi agoai diala. Na da eno dunu ilia da nama asigimu, na da dawa: i. Be ilia da nama hame asigi galu. Ilia da na dogo denesima: ne, na da hanai galu. Be agoane hame ba: i.
21 Waliweka nyongo katika chakula changu na walinipa siki nilipokuwa na kiu.
Na da ha: i galea, ilia da nama bogoma: ne ha: i manu iasu. Na da hano hanai galea, ilia da nama wadela: i gamoga: i waini hano iasu.
22 Meza iliyoandaliwa mbele yao na iwe mtego, nayo iwe upatilizo na tanzi.
Ilia lolo nasu da ili wadela: lesimu da defea. Ilia hamoma: ne sia: i lolo nasu da ilila: dafama: ne hamomu da defea.
23 Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona, nayo migongo yao iinamishwe daima.
Gode! Dia ilia si wadela: lesima! Ilia baligi eso huluane gasa hamedenesima!
24 Uwamwagie ghadhabu yako, hasira yako kali na iwapate.
Dia ougi hou ili da: iya soga: sima! Dia ougi hou da ilima baligili heda: ma: ma!
25 Mahali pao na pawe ukiwa, wala asiwepo yeyote atakayeishi katika mahema yao.
Ilia fisisu sogebi da dunu hamedene ba: mu da defea! Ilia abula diasu ganodini, dunu afae esalebe hame ba: mu da defea!
26 Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi, na kuzungumza juu ya maumivu ya wale uliowaumiza.
Ilia da dunu ilima Di da se iasu, ilima baligili se iaha. Ilia da dunu amo Dia da fa: ginisi, amo ilia se nabasu ba: beba: le, oufesega: ne sia: daha.
27 Walipize uovu juu ya uovu, usiwaache washiriki katika wokovu wako.
Ilia wadela: i hou hamoi huluane dedene sa: i dialoma! Dia gaga: su amoga ilia afae mae lama: ma!
28 Wafutwe kutoka kitabu cha uzima na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.
Ilia dio Fifi Ahoanusu Meloa amo ganodini dedei dialebe, amo fadegama! Dia fi ilia dio dedei, amoga ilia dio mae dialoma: ma!
29 Mimi niko katika maumivu na dhiki; Ee Mungu, wokovu wako na unihifadhi.
Be na da heawini se bagade naba. Gode! Na gaguia gadole, amola na gaga: ma!
30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo, nami nitamtukuza kwa kumtolea shukrani.
Na da Godema nodone gesami hea: mu! Na da Ema nodobeba: le, Ea gasa bagade hou eno dunuma sisia: i lamu.
31 Hili litampendeza Bwana kuliko ngʼombe dume, zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake.
Hina Gode da bulamagau gobele salasu amola bulamagau gawali noga: le dei, amo gobele salasu hahawane ba: sa. Be na da Ema dafawane nodosea, E da amo hou da ohe gobele salasu amo baligisa ba: sa.
32 Maskini wataona na kufurahi: ninyi mnaomtafuta Mungu, mioyo yenu na iishi!
Banenesi dunu da amo hou ba: sea, hahawane ganumu. Dunu amo da Godema nodosu da amo hou ba: sea, dogo denesi dagoi ba: mu.
33 Bwana huwasikia wahitaji wala hadharau watu wake waliotekwa.
Hina Gode da liligi hame gagui hahani dunu amo ilia adole ba: su naba. E da Ea dunu amo da afugi diasu ganodini esalebe, hame gogolesa.
34 Mbingu na dunia zimsifu, bahari na vyote viendavyo ndani yake,
Hebene amola osobo bagade amola hano wayabo bagade! Amo ganodini esalebe liligi huluane! Godema nodoma!
35 kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni na kuijenga tena miji ya Yuda. Kisha watu watafanya makao yao humo na kuimiliki,
E da Yelusaleme moilai bai bagade gaga: mu! E da Yuda moilale gagai huluane bu gagumu. Ea fi dunu da amogawi esalumu, amola ilia da Isala: ili soge gaguli fimu.
36 watoto wa watumishi wake watairithi na wale wote walipendao jina lake wataishi humo.
Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu iligaga fi dunu da amo soge, nana agoane lamu. Amola dunu amo da Ema asigi, ilia da amogai esalumu.