< Zaburi 68 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo. Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike, adui zake na wakimbie mbele zake.
Para el músico principal. Un salmo de David. Una canción. ¡Que se levante Dios! ¡Que se dispersen sus enemigos! Que los que lo odian también huyan ante él.
2 Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo, vivyo hivyo uwapeperushe mbali, kama vile nta iyeyukavyo kwenye moto, vivyo hivyo waovu na waangamie mbele za Mungu.
Como el humo se aleja, así que ahuyéntalos. Como la cera se derrite ante el fuego, que los malvados perezcan ante la presencia de Dios.
3 Bali wenye haki na wafurahi, washangilie mbele za Mungu, wafurahi na kushangilia.
Pero que los justos se alegren. Que se alegren ante Dios. Sí, que se regocijen con alegría.
4 Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake, mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu: jina lake ni Bwana, furahini mbele zake.
¡Cantad a Dios! ¡Cantad alabanzas a su nombre! Exalta al que cabalga sobre las nubes: ¡a Yah, su nombre! Alégrate ante él.
5 Baba wa yatima, mtetezi wa wajane, ni Mungu katika makao yake matakatifu.
Padre de los huérfanos y defensor de las viudas, es Dios en su santa morada.
6 Mungu huwaweka wapweke katika jamaa, huwaongoza wafungwa wakiimba, bali waasi huishi katika nchi kame.
Dios pone a los solitarios en las familias. Saca a los prisioneros con el canto, pero los rebeldes habitan en una tierra quemada por el sol.
7 Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako, ulipopita nyikani,
Dios, cuando saliste ante tu pueblo, cuando marchaste por el desierto... (Selah)
8 dunia ilitikisika, mbingu zikanyesha mvua, mbele za Mungu, Yule wa Sinai, mbele za Mungu, Mungu wa Israeli.
La tierra tembló. El cielo también derramó lluvia ante la presencia del Dios del Sinaí — ante la presencia de Dios, el Dios de Israel.
9 Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingi na kuiburudisha ardhi iliyokuwa imechoka.
Tú, Dios, enviaste una lluvia abundante. Has confirmado tu herencia cuando estaba agotada.
10 Ee Mungu, watu wako waliishi huko, nawe kwa wingi wa utajiri wako uliwapa maskini mahitaji yao.
Su congregación vivía en ella. Tú, Dios, preparaste tu bondad para los pobres.
11 Bwana alitangaza neno, waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa:
El Señor anunció la palabra. Los que lo proclaman son una gran empresa.
12 “Wafalme na majeshi walikimbia upesi, watu waliobaki kambini waligawana nyara.
“¡Reyes de los ejércitos huyen! Huyen!” La que espera en casa reparte el botín,
13 Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini, mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha, manyoya yake kwa dhahabu ingʼaayo.”
mientras duermes entre las hogueras, las alas de una paloma enfundadas en plata, sus plumas con oro brillante.
14 Wakati Mwenyezi alipowatawanya wafalme katika nchi, ilikuwa kama theluji iliyoanguka juu ya Salmoni.
Cuando el Todopoderoso dispersó a los reyes en ella, nevó en Zalmon.
15 Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka, milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.
Las montañas de Basán son montañas majestuosas. Las montañas de Basán son escarpadas.
16 Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka, kwa nini mnakazia macho kwa wivu, katika mlima Mungu anaochagua kutawala, ambako Bwana mwenyewe ataishi milele?
¿Por qué miráis con envidia, montañas escarpadas, en la montaña donde Dios decide reinar? Sí, Yahvé morará allí para siempre.
17 Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu, na maelfu ya maelfu; Bwana amekuja kutoka Sinai hadi katika patakatifu pake.
Los carros de Dios son decenas de miles y miles de miles. El Señor está entre ellos, desde el Sinaí, en el santuario.
18 Ulipopanda juu, uliteka mateka, ukapokea vipawa kutoka kwa wanadamu, hata kutoka kwa wale walioasi, ili wewe, Ee Bwana Mungu, upate kuishi huko.
Has subido a lo alto. Has llevado a los cautivos. Has recibido regalos entre la gente, sí, también entre los rebeldes, para que Yah Dios habite allí.
19 Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu, ambaye siku kwa siku hutuchukulia mizigo yetu.
Bendito sea el Señor, que cada día soporta nuestras cargas, el Dios que es nuestra salvación. (Selah)
20 Mungu wetu ni Mungu aokoaye, Bwana Mwenyezi hutuokoa na kifo.
Dios es para nosotros un Dios de liberación. A Yahvé, el Señor, le corresponde escapar de la muerte.
21 Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake, vichwa vya hao waendao katika njia za dhambi.
Pero Dios atravesará la cabeza de sus enemigos, el cuero cabelludo de aquel que aún continúa en su culpabilidad.
22 Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari,
El Señor dijo: “Te traeré de nuevo desde Basán, Te traeré de nuevo desde las profundidades del mar,
23 ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako, huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”
para que los aplastes, mojando tu pie en la sangre, para que las lenguas de tus perros tengan su parte de tus enemigos”.
24 Ee Mungu, maandamano yako yameonekana, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, yakielekea patakatifu pake.
Han visto tus procesiones, Dios, hasta las procesiones de mi Dios, mi Rey, en el santuario.
25 Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda, pamoja nao wako wanawali wakipiga matari.
Los cantantes iban delante, los juglares les seguían, entre las damas tocando con panderetas,
26 Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa, msifuni Bwana katika kusanyiko la Israeli.
“Bendecid a Dios en las congregaciones, el Señor en la asamblea de Israel”.
27 Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza, wakifuatwa na kundi kubwa la watawala wa Yuda, hatimaye watawala wa Zabuloni na Naftali.
Allí está el pequeño Benjamín, su gobernante, los príncipes de Judá, su consejo, los príncipes de Zabulón y los príncipes de Neftalí.
28 Ee Mungu, amuru uwezo wako, Ee Mungu tuonyeshe nguvu zako, kama ulivyofanya hapo awali.
Tu Dios ha ordenado tu fuerza. Fortalece, Dios, lo que has hecho por nosotros.
29 Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu wafalme watakuletea zawadi.
Por tu templo en Jerusalén, los reyes te traerán regalos.
30 Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi, kundi la mafahali katikati ya ndama za mataifa. Na walete minara ya madini ya fedha wakinyenyekea. Tawanya mataifa yapendayo vita.
Reprende al animal salvaje de las cañas, la multitud de los toros con los becerros de los pueblos. Pisotea las barras de plata. Dispersa a las naciones que se deleitan en la guerra.
31 Wajumbe watakuja kutoka Misri, Kushi atajisalimisha kwa Mungu.
Los príncipes saldrán de Egipto. Etiopía se apresurará a extender sus manos a Dios.
32 Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia, mwimbieni Bwana sifa,
¡Cantad a Dios, reinos de la tierra! Canten alabanzas al Señor (Selah)
33 mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu, yeye angurumaye kwa sauti kuu.
al que cabalga sobre el cielo de los cielos, que son de la antigüedad; He aquí que él emite su voz, una voz poderosa.
34 Tangazeni uwezo wa Mungu, ambaye fahari yake iko juu ya Israeli, ambaye uwezo wake uko katika anga.
¡Asume la fuerza de Dios! Su excelencia está sobre Israel, su fuerza está en los cielos.
35 Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako, Mungu wa Israeli huwapa watu wake uwezo na nguvu. Mungu Asifiwe!
Eres impresionante, Dios, en tus santuarios. El Dios de Israel da fuerza y poder a su pueblo. Alabado sea Dios.

< Zaburi 68 >