< Zaburi 68 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo. Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike, adui zake na wakimbie mbele zake.
Til sangmesteren; av David; en salme, en sang. Gud reiser sig, hans fiender spredes, og de som hater ham, flyr for hans åsyn.
2 Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo, vivyo hivyo uwapeperushe mbali, kama vile nta iyeyukavyo kwenye moto, vivyo hivyo waovu na waangamie mbele za Mungu.
Likesom røk drives bort, så driver du dem bort; likesom voks smelter for ild, forgår de ugudelige for Guds åsyn.
3 Bali wenye haki na wafurahi, washangilie mbele za Mungu, wafurahi na kushangilia.
Og de rettferdige gleder sig, de jubler for Guds åsyn og fryder sig med glede.
4 Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake, mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu: jina lake ni Bwana, furahini mbele zake.
Syng for Gud, lovsyng hans navn, gjør vei for ham som farer frem på de øde marker, Herren er hans navn, og juble for hans åsyn!
5 Baba wa yatima, mtetezi wa wajane, ni Mungu katika makao yake matakatifu.
Farløses far og enkers dommer er Gud i sin hellige bolig.
6 Mungu huwaweka wapweke katika jamaa, huwaongoza wafungwa wakiimba, bali waasi huishi katika nchi kame.
Gud gir de enslige hus, fører fanger ut til lykke; bare de gjenstridige bor i et tørt land.
7 Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako, ulipopita nyikani,
Gud, da du drog ut foran ditt folk, da du skred frem gjennem ørkenen, (sela)
8 dunia ilitikisika, mbingu zikanyesha mvua, mbele za Mungu, Yule wa Sinai, mbele za Mungu, Mungu wa Israeli.
da bevet jorden, og himlene dryppet for Guds åsyn, Sinai der borte, for Guds, Israels Guds åsyn.
9 Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingi na kuiburudisha ardhi iliyokuwa imechoka.
Et rikelig regn spredte du, Gud; din arv, den utmattede, styrket du.
10 Ee Mungu, watu wako waliishi huko, nawe kwa wingi wa utajiri wako uliwapa maskini mahitaji yao.
Ditt folk bosatte sig i landet; du laget det ved din godhet i stand for den elendige, Gud!
11 Bwana alitangaza neno, waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa:
Herren gir seierssang; stor er skaren av kvinner med gledesbudskap.
12 “Wafalme na majeshi walikimbia upesi, watu waliobaki kambini waligawana nyara.
Hærenes konger flyr, de flyr, og hun som sitter hjemme, deler bytte.
13 Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini, mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha, manyoya yake kwa dhahabu ingʼaayo.”
Når I hviler mellem kveene, er det som en dues vinger, som er dekket med sølv, og hvis vingefjær har gullets grønnlige glans.
14 Wakati Mwenyezi alipowatawanya wafalme katika nchi, ilikuwa kama theluji iliyoanguka juu ya Salmoni.
Når den Allmektige spreder konger der, da sner det på Salmon.
15 Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka, milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.
Et Guds fjell er Basans fjell, et fjell med mange tinder er Basans fjell.
16 Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka, kwa nini mnakazia macho kwa wivu, katika mlima Mungu anaochagua kutawala, ambako Bwana mwenyewe ataishi milele?
Hvorfor ser I skjevt, I fjell med de mange tinder, til det fjell som Gud finner behag i å bo på? Herren skal også bo der evindelig.
17 Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu, na maelfu ya maelfu; Bwana amekuja kutoka Sinai hadi katika patakatifu pake.
Guds vogner er to ganger ti tusen, tusen og atter tusen; Herren er iblandt dem, Sinai er i helligdommen.
18 Ulipopanda juu, uliteka mateka, ukapokea vipawa kutoka kwa wanadamu, hata kutoka kwa wale walioasi, ili wewe, Ee Bwana Mungu, upate kuishi huko.
Du fór op i det høie, bortførte fanger, tok gaver blandt menneskene, også blandt de gjenstridige, for å bo der, Herre Gud!
19 Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu, ambaye siku kwa siku hutuchukulia mizigo yetu.
Lovet være Herren dag efter dag! Legger man byrde på oss, så er Gud vår frelser. (Sela)
20 Mungu wetu ni Mungu aokoaye, Bwana Mwenyezi hutuokoa na kifo.
Gud er oss en Gud til frelse, og hos Herren, Israels Gud, er det utganger fra døden.
21 Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake, vichwa vya hao waendao katika njia za dhambi.
Ja, Gud knuser sine fienders hode, den hårrike isse på ham som vandrer i sin syndeskyld.
22 Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari,
Herren sier: Fra Basan vil jeg hente tilbake, jeg vil hente tilbake fra havets dyp,
23 ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako, huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”
forat din fot må stampe i blod, dine hunders tunge få sin del av fiendene.
24 Ee Mungu, maandamano yako yameonekana, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, yakielekea patakatifu pake.
De ser dine seierstog, Gud, min Guds, min konges, seierstog inn i helligdommen.
25 Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda, pamoja nao wako wanawali wakipiga matari.
Foran går sangere, bakefter harpespillere midt imellem jomfruer som slår på pauke.
26 Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa, msifuni Bwana katika kusanyiko la Israeli.
Lov Gud i forsamlingene, lov Herren, I som er av Israels kilde!
27 Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza, wakifuatwa na kundi kubwa la watawala wa Yuda, hatimaye watawala wa Zabuloni na Naftali.
Der er Benjamin, den yngste, som hersker over dem, Judas fyrster med sin skare, Sebulons fyrster, Naftalis fyrster.
28 Ee Mungu, amuru uwezo wako, Ee Mungu tuonyeshe nguvu zako, kama ulivyofanya hapo awali.
Din Gud har tildelt dig styrke; styrk, Gud, det du har gjort for oss!
29 Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu wafalme watakuletea zawadi.
For ditt tempel i Jerusalems skyld skal konger komme til dig med gaver.
30 Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi, kundi la mafahali katikati ya ndama za mataifa. Na walete minara ya madini ya fedha wakinyenyekea. Tawanya mataifa yapendayo vita.
Skjell på dyret i sivet, på stuteflokken med folke-kalvene, som kaster sig ned for dig med sølvstykker! Han spreder folkene som har lyst til strid.
31 Wajumbe watakuja kutoka Misri, Kushi atajisalimisha kwa Mungu.
Veldige menn skal komme fra Egypten, Etiopia skal i hast utrekke sine hender til Gud.
32 Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia, mwimbieni Bwana sifa,
I jordens riker, syng for Gud, lovsyng Herren, (sela)
33 mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu, yeye angurumaye kwa sauti kuu.
ham som farer frem i himlenes himler, de eldgamle! Se, han lar sin røst høre, en mektig røst.
34 Tangazeni uwezo wa Mungu, ambaye fahari yake iko juu ya Israeli, ambaye uwezo wake uko katika anga.
Gi Gud makt! Over Israel er hans høihet, og hans makt i skyene.
35 Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako, Mungu wa Israeli huwapa watu wake uwezo na nguvu. Mungu Asifiwe!
Forferdelig er du, Gud, fra dine helligdommer; Israels Gud, han gir folket makt og styrke. Lovet være Gud!

< Zaburi 68 >