< Zaburi 67 >

1 Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo. Mungu aturehemu na kutubariki, na kutuangazia nuru za uso wake,
För sångmästaren, med strängaspel; en psalm, en sång. Gud vare oss nådig och välsigne oss, han låte sitt ansikte lysa och ledsaga oss, (Sela)
2 ili njia zako zijulikane duniani, wokovu wako katikati ya mataifa yote.
för att man på jorden må känna din väg, bland alla hedningar din frälsning.
3 Ee Mungu, mataifa na wakusifu, mataifa yote na wakusifu.
Folken tacke dig, o Gud, alla folk tacke dig.
4 Mataifa yote wafurahi na kuimba kwa shangwe, kwa kuwa unatawala watu kwa haki na kuongoza mataifa ya dunia.
Folkslagen glädje sig och juble, ty du dömer folken rätt, och du leder folkslagen på jorden. (Sela)
5 Ee Mungu, mataifa na wakusifu, mataifa yote na wakusifu.
Folken tacke dig, o Gud, alla folk tacke dig.
6 Ndipo nchi itatoa mazao yake, naye Mungu, Mungu wetu, atatubariki.
Jorden har givit sin gröda. Gud, vår Gud, välsigne oss.
7 Mungu atatubariki na miisho yote ya dunia itamcha yeye.
Gud välsigne oss, och alla jordens ändar frukte honom.

< Zaburi 67 >