< Zaburi 67 >

1 Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo. Mungu aturehemu na kutubariki, na kutuangazia nuru za uso wake,
ʼElohim tenga compasión de nosotros y nos bendiga, Resplandezca su rostro sobre nosotros, (Selah)
2 ili njia zako zijulikane duniani, wokovu wako katikati ya mataifa yote.
Para que tu camino sea conocido en la tierra, Y tu salvación en todas las naciones.
3 Ee Mungu, mataifa na wakusifu, mataifa yote na wakusifu.
Que los pueblos te alaben, oh ʼElohim. Que todos los pueblos te alaben.
4 Mataifa yote wafurahi na kuimba kwa shangwe, kwa kuwa unatawala watu kwa haki na kuongoza mataifa ya dunia.
Que se regocijen y canten con júbilo las naciones. Porque Tú juzgarás a los pueblos con equidad, Y guiarás a las naciones de la tierra. (Selah)
5 Ee Mungu, mataifa na wakusifu, mataifa yote na wakusifu.
Que te alaben los pueblos, oh ʼElohim. Que todos los pueblos te alaben.
6 Ndipo nchi itatoa mazao yake, naye Mungu, Mungu wetu, atatubariki.
La tierra dio su fruto. ʼElohim, el ʼElohim nuestro, nos bendice.
7 Mungu atatubariki na miisho yote ya dunia itamcha yeye.
ʼElohim nos bendiga. Que le teman todos los confines de la tierra.

< Zaburi 67 >