< Zaburi 67 >
1 Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo. Mungu aturehemu na kutubariki, na kutuangazia nuru za uso wake,
Til songmeisteren på strengleik; ein salme, ein song. Gud vere oss nådig og velsigne oss, han late si åsyn lysa hjå oss (Sela)
2 ili njia zako zijulikane duniani, wokovu wako katikati ya mataifa yote.
so dei må kjenna din veg på jordi, di frelse hjå alle heidningar.
3 Ee Mungu, mataifa na wakusifu, mataifa yote na wakusifu.
Folki skal prisa deg, Gud, folki skal prisa deg alle saman.
4 Mataifa yote wafurahi na kuimba kwa shangwe, kwa kuwa unatawala watu kwa haki na kuongoza mataifa ya dunia.
Folkeslagi skal gledast og fagna seg høgt; for du dømer folki med rett, og folkeslagi på jordi leider du. (Sela)
5 Ee Mungu, mataifa na wakusifu, mataifa yote na wakusifu.
Folki skal prisa deg, Gud, folki skal prisa deg alle saman.
6 Ndipo nchi itatoa mazao yake, naye Mungu, Mungu wetu, atatubariki.
Landet hev gjeve si grøda; Gud, vår Gud velsignar oss.
7 Mungu atatubariki na miisho yote ya dunia itamcha yeye.
Gud velsignar oss, og alle heimsens endar skal ottast honom.