< Zaburi 66 >

1 Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi. Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!
Mipoñafa rebek’ aman’ Andrianañahare, ry hene tane toy!
2 Imbeni utukufu wa jina lake; mpeni sifa zake kwa utukufu!
Isabò ty volonahe’ i Tahina’ey, toloro engeñe mitoabotse.
3 Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako! Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba adui wananyenyekea mbele zako.
Anò ty hoe aman’ Añahare: Ra’elahy o tolon-draha’oo! Ami’ty hajabahinan-kaozara’o ty hitsolofìña’ o rafelahi’oo aolo’o eo.
4 Dunia yote yakusujudia, wanakuimbia wewe sifa, wanaliimbia sifa jina lako.”
Hene hitalaho ama’o ty tane toy, naho hisabo fandrengeañe ama’o; ho bangoe’ iereo ty tahina’o. Selà
5 Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda, mambo ya kutisha aliyoyatenda miongoni mwa wanadamu!
Antao hañisake o fitoloñan’Añahareo: mampañeveñe o ana’ondatio o sata’eo.
6 Alifanya bahari kuwa nchi kavu, wakapita kati ya maji kwa miguu, njooni, tumshangilie.
Nabali’e ho tane kànkañe i riakey, nitsaham-pandia’ iareo i oñey; añe ty nirebehan-tika.
7 Yeye hutawala kwa uwezo wake milele, macho yake huangalia mataifa yote: waasi wasithubutu kujiinua dhidi yake.
Manjaka an-kaozara’e nainai’e re, jilovem-pihaino’e o fifeheañeo, we te tsy hiroharoha’ o mpiolao. Selà
8 Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu, sauti ya sifa yake isikike,
Andriaño t’i Andrianañaharen-tika ry ondatio, ipoñafo feom-pandrengeañe;
9 ameyahifadhi maisha yetu na kuizuia miguu yetu kuteleza.
Ie mitañe an-tika veloñe, naho tsy apo’e hasitse o fandian-tikañeo.
10 Ee Mungu, wewe ulitujaribu, ukatusafisha kama fedha.
Fa namente anay irehe, ry Andrianañahare, fa natrana’o hoe fitranaham-bolafoty.
11 Umetuingiza kwenye nyavu na umetubebesha mizigo mizito migongoni mwetu.
Nasese’o an-karato ao, vaho nampibabe’o faloviloviañe o hàto’aio.
12 Uliwaruhusu watu watukalie vichwani, tulipita kwenye moto na kwenye maji, lakini ulituleta kwenye nchi iliyojaa utajiri tele.
Nampiningire’o ambone’ ty añambone’ay t’indaty, zahay nisibek’ afo naho rano, fe naaka’o ho an-kavokarañe.
13 Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa na kukutimizia nadhiri zangu:
Himoak’ añ’anjomba’o ao raho hinday engan-koroañe; hañenefako o nifantàkoo,
14 nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi na nilizotamka kwa kinywa changu nilipokuwa katika shida.
ze vinolan-tsoñiko vaho rineham-bavako t’ie niankoheke.
15 Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono na sadaka za kondoo dume, nitakutolea mafahali na mbuzi.
Hengaeko kobatroke horañe, an-katòen’ añondri-lahy, hisoroñe bania naho oselahy. Selà
16 Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu, nami niwaambie aliyonitendea.
Mb’etoa hijanjiñe ry mpañeveñe aman’ Añahare iabio, le ho talilieko o nanoe’e an-kavelokoo.
17 Nilimlilia kwa kinywa changu, sifa zake zilikuwa katika ulimi wangu.
Nitoreo am-bavako, le nampionjoneko an-delako.
18 Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu, Bwana asingekuwa amenisikiliza;
Ie mahatrea hakeo an-troko ato, le tsy hijanjiña’ i Talè.
19 lakini hakika Mungu amenisikiliza na amesikia sauti yangu katika maombi.
Fa toe mijanjiñe ahy t’i Andrianañahare haoñe’e i feon-kalalikoy.
20 Sifa apewe Mungu, ambaye hakulikataa ombi langu wala kunizuilia upendo wake!
Andriañeñe t’i Andrianañahare, amy te tsy ambohoa’e i filolofakoy, vaho tsy afaha’e amako ty fiferenaiña’e.

< Zaburi 66 >