< Zaburi 66 >
1 Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi. Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!
Kathutkung: Panuekhoeh Talaivan pueng Cathut koe konawm hoi hram awh haw.
2 Imbeni utukufu wa jina lake; mpeni sifa zake kwa utukufu!
A min bari laihoi la sak awh nateh, ka sungren poung lah pholen awh.
3 Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako! Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba adui wananyenyekea mbele zako.
Cathut koe, na sak e heh banghloi kângai lah a ru. Kângairu na sak e dawkvah, na tarannaw hah nang koe a poe han.
4 Dunia yote yakusujudia, wanakuimbia wewe sifa, wanaliimbia sifa jina lako.”
Talai van pueng ni, bawk laihoi nang koe pholen la sak awh vaiteh, na min pholen laihoi la a sak awh han telah tet awh naseh. (Selah)
5 Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda, mambo ya kutisha aliyoyatenda miongoni mwa wanadamu!
Tho awh nateh Cathut ni sak e naw hah khenhaw. Tami capanaw hanelah, a sak e naw hah kângairu hanelah ao.
6 Alifanya bahari kuwa nchi kavu, wakapita kati ya maji kwa miguu, njooni, tumshangilie.
Ama ni talîpui hah talai kaphui lah a coung sak teh, talîpui dawk khok hoi a cei awh. Hawvah ama dawk a konawm awh.
7 Yeye hutawala kwa uwezo wake milele, macho yake huangalia mataifa yote: waasi wasithubutu kujiinua dhidi yake.
A thaonae hoi pou a uk, A mit hoi miphun pueng hah a khet. Tarankathawnaw teh kâphokâlen awh hanh naseh. (Selah)
8 Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu, sauti ya sifa yake isikike,
Oe tamimaya, maimae Cathut teh pholen awh haw. Pholennae lawk heh thai kamcu lah sak awh.
9 ameyahifadhi maisha yetu na kuizuia miguu yetu kuteleza.
Kahringnaw koe maimouh hringnae hah a kuet teh, maimouh kamthui hane hai na pasoung hoeh.
10 Ee Mungu, wewe ulitujaribu, ukatusafisha kama fedha.
Bangkongtetpawiteh, Oe Cathut, nang ni na tanouk teh, ngun tanouk e patetlah na tanouk.
11 Umetuingiza kwenye nyavu na umetubebesha mizigo mizito migongoni mwetu.
Tamlawk hoi na man teh, kaimae loung dawk hnori hah na patue.
12 Uliwaruhusu watu watukalie vichwani, tulipita kwenye moto na kwenye maji, lakini ulituleta kwenye nchi iliyojaa utajiri tele.
Kaimae lû dawk tami na kâcui sak teh, hmai hoi tuikalen hah na raka. Hatei, kakuep e tawntanae hmuen koe na hrawi.
13 Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa na kukutimizia nadhiri zangu:
Hmaisawi thuengnae hoi kathâw e saring hoi hmuitui tuca hoi na im dawk a kâen han.
14 nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi na nilizotamka kwa kinywa changu nilipokuwa katika shida.
Hat hateh, runae ka kâhmo navah, ka pahni hoi ka dei e patetlah ka pâpho tangcoung e doeh.
15 Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono na sadaka za kondoo dume, nitakutolea mafahali na mbuzi.
Hmaisawi thuengnae dawkvah, kathâw e saring hoi hmuitui tuca hoi ka poe vaiteh, maitotan hah hmae hoi ka poe han. (Selah)
16 Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu, nami niwaambie aliyonitendea.
Cathut ka taket e pueng, tho awh nateh thai awh haw. Ka hring nahanelah a sak e hah na pâpho pouh vai.
17 Nilimlilia kwa kinywa changu, sifa zake zilikuwa katika ulimi wangu.
Ka pahni hoi ama koe ka hram teh, ka lai hoi ama teh ka tawm.
18 Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu, Bwana asingekuwa amenisikiliza;
Ka lungthin ni payonnae hah noutna hoeh pawiteh, Bawipa ni na thai pouh mahoeh.
19 lakini hakika Mungu amenisikiliza na amesikia sauti yangu katika maombi.
Hatei, Cathut ni na thai pouh katang teh, ka hramnae lawk hai kahawicalah a thai.
20 Sifa apewe Mungu, ambaye hakulikataa ombi langu wala kunizuilia upendo wake!
Ka ratoumnae pahnawt hoeh niteh, kai koehoi a lungmanae ka puen hoeh e, Cathut teh pholen lah awm seh.