< Zaburi 66 >
1 Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi. Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!
Dunu huluane! Godema hahawane nodone wele sia: ma!
2 Imbeni utukufu wa jina lake; mpeni sifa zake kwa utukufu!
Ea Hadigi Dio amoma gesami hea: ma! Amola hadigiwane Ema nodone sia: ma!
3 Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako! Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba adui wananyenyekea mbele zako.
Godema amane sia: ma, “Dia hamobe liligi da noga: idafa gala. Dia da bagadedafaba: le, Dima ha lai dunu da beda: ga, Dia midadi begudusa.
4 Dunia yote yakusujudia, wanakuimbia wewe sifa, wanaliimbia sifa jina lako.”
Osobo bagade fifi asi gala dunu huluanedafa da Dima nodone sia: ne gadolala. Ilia da Dima nodone gesami hea: sa. Ilia da Dia Dio gaguia gadole gesami hea: sa.
5 Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda, mambo ya kutisha aliyoyatenda miongoni mwa wanadamu!
Gode Ea hamobe amo ba: la misa! Ea dunu fi amo ganodini Ea noga: idafa hamobe amo ba: la misa.
6 Alifanya bahari kuwa nchi kavu, wakapita kati ya maji kwa miguu, njooni, tumshangilie.
E da hano wayabo bagade afadenene, bu hafoga: i soge hamoi. Ninia aowalali da Yodane Hano amo emoga degei. Amogawi, ninia da Ea hamoi amo ba: lalu bagade nodoi.
7 Yeye hutawala kwa uwezo wake milele, macho yake huangalia mataifa yote: waasi wasithubutu kujiinua dhidi yake.
E da Ea gasaga fifi asi gala ouligilala. E da fifi asi gala huluane Ea siga ba: lala. Ema lelesu dunu ilia da Ema mae lelema: ma!
8 Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu, sauti ya sifa yake isikike,
Osobo bagade fifi asi gala huluane! Ninia Godema nodona: di! Dunu huluane da dilia Ema nodobe nabimu da defea!
9 ameyahifadhi maisha yetu na kuizuia miguu yetu kuteleza.
E da nini gebewane esaloma: ne ouligi. Amola nini mae dafama: ne ouligi.
10 Ee Mungu, wewe ulitujaribu, ukatusafisha kama fedha.
Gode! Silifa da laluga gobele, noga: i amola wadela: i afafama: ne adoba: be agoane, Di da nini adoba: i.
11 Umetuingiza kwenye nyavu na umetubebesha mizigo mizito migongoni mwetu.
Di da nini saniga sa: ima: ne adodigi. Di da ninia baligi da: iya dioi liligi ligisi.
12 Uliwaruhusu watu watukalie vichwani, tulipita kwenye moto na kwenye maji, lakini ulituleta kwenye nchi iliyojaa utajiri tele.
Di da ninima ha lai dunu ninima hasalasima: ne yolesi. Ninia da lalu gelabodili amola hano heda: i degele asi. Be wali Di da ninia gado sogebi amoga oule misi dagoi.
13 Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa na kukutimizia nadhiri zangu:
Na da Dima gobei gobele salasu liligi amo Dia diasuga gaguli misunu. Na da Dima ilegei liligi amo Dima imunusa: olemu.
14 nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi na nilizotamka kwa kinywa changu nilipokuwa katika shida.
Na da nama bidi hamosu doaga: loba, na da adi Dima imunusa: sia: i liligi, amo Dima imunu.
15 Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono na sadaka za kondoo dume, nitakutolea mafahali na mbuzi.
Na da sibi amo oloda da: iya gobele sanasimusa: imunu. Na da bulamagau gawali amola goudi gobele salimu. Amola gobele salasu mobi da muagado heda: mu.
16 Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu, nami niwaambie aliyonitendea.
Godema nodone dawa: su dunu huluane! Naba misa! Amola na da Ea nama hamobe amo huluane dilima olelemu.
17 Nilimlilia kwa kinywa changu, sifa zake zilikuwa katika ulimi wangu.
Na da Ema na fidima: ne dini i. Na da gesami hea: su Ema nodone sia: i.
18 Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu, Bwana asingekuwa amenisikiliza;
Na da na wadela: i hou banenesisa ganiaba, Hina Gode da na sia: ne gadobe hame naba: loba.
19 lakini hakika Mungu amenisikiliza na amesikia sauti yangu katika maombi.
Be Gode da dafawane na sia: ne gadobe nabi.
20 Sifa apewe Mungu, ambaye hakulikataa ombi langu wala kunizuilia upendo wake!
Na da Godema nodosa. Bai E da na sia: ne gadosu hame higa: i. Amola E da nama mae fisili Ea asigidafa hou hame gagulaligi.