< Zaburi 64 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu, uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.
Til sangmesteren; en salme av David. Hør, Gud, min røst når jeg klager, bevar mitt liv for fiendens skremsel!
2 Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu, kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.
Skjul mig for de ondes lønnlige råd, for illgjerningsmenns larmende hop,
3 Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.
som hvesser sin tunge som et sverd, legger på buen sin pil, det bitre ord,
4 Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia, humrushia ghafula bila woga.
for å skyte den uskyldige i lønndom; med ett skyter de ham og frykter ikke.
5 Kila mmoja humtia moyo mwenzake katika mipango mibaya; huzungumza juu ya kuficha mitego yao, nao husema, “Ni nani ataiona?”
De gjør sitt onde råd fast; de forteller hvorledes de vil legge skjulte snarer; de sier: Hvem ser dem?
6 Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema, “Tumebuni mpango mkamilifu!” Hakika nia na moyo wa mwanadamu vina hila.
De uttenker ugjerninger: Vi er ferdige, tanken er uttenkt - og menneskenes tanker og hjerter er dype.
7 Bali Mungu atawapiga kwa mishale, nao ghafula wataangushwa.
Da skyter Gud dem; med ett kommer pilen; slaget har rammet dem.
8 Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao na kuwaleta kwenye maangamizi; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao kwa dharau.
Og de blir nedstyrtet, deres tunge kommer over dem; alle de som ser på dem, ryster på hodet.
9 Wanadamu wote wataogopa, watatangaza kazi za Mungu na kutafakari yale aliyoyatenda.
Og alle mennesker frykter og forkynner Guds gjerning, og de forstår hans verk.
10 Wenye haki na wafurahi katika Bwana, na wakimbilie kwake; wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!
Den rettferdige gleder sig i Herren og tar sin tilflukt til ham, og alle opriktige av hjertet priser sig lykkelige.