< Zaburi 64 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu, uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.
Janjiño ty feoko, ry Andrianañahare, ami’ty fitreontreoñako; ambeno ty fiaiko ami’ty fihembaña’e o rafelahio.
2 Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu, kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.
Aetaho iraho ami’ty fikililia’ o tsivokatseo; amo fikitrohan-drati’ o lo-tserekeo.
3 Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.
O maniom-pameleke hoe fibara vaho mañohatse entam-bola-mafaitse hoe t’ie ana-pale,
4 Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia, humrushia ghafula bila woga.
hañohara’ iareo añ’etake ty vañoñe; tifire’iereo amy zao tsy aman-tahotse.
5 Kila mmoja humtia moyo mwenzake katika mipango mibaya; huzungumza juu ya kuficha mitego yao, nao husema, “Ni nani ataiona?”
Mifañosike t’ie mikitroke, mikinia hampibitrotse fandri-bo añ’etake, ami’ty hoe: Ia ty hahaisake?
6 Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema, “Tumebuni mpango mkamilifu!” Hakika nia na moyo wa mwanadamu vina hila.
Tsikarahe’ iereo ze tsihavokarañe, Fa nañeneke safiry soa lahatse. Toe miheotse ty añ’ova’ ondaty ao, naho ty arofo’e.
7 Bali Mungu atawapiga kwa mishale, nao ghafula wataangushwa.
F’ie hañiririan’ Añahare ana-pale aniany avao le ho fere
8 Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao na kuwaleta kwenye maangamizi; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao kwa dharau.
hampitsikapy iareo; sesehe’ o famele’iareo avao, songa mibioñe añe ty mahaisake iareo.
9 Wanadamu wote wataogopa, watatangaza kazi za Mungu na kutafakari yale aliyoyatenda.
Le hene hirevendreveñe ondatio, hitalily o fitoloñan’ Añahareo vaho hañarahara o tolon-draha’eo.
10 Wenye haki na wafurahi katika Bwana, na wakimbilie kwake; wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!
Hifale am’ Iehovà o vantañeo, hipalitse ama’e; vaho hene handrenge aze o mahity añ’arofoo.

< Zaburi 64 >