< Zaburi 64 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu, uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.
Dāvida dziesma. Dziedātāju vadonim. Klausi, ak Dievs, manu balsi, kad es žēlojos; pasargi manu dzīvību no ienaidnieku briesmām.
2 Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu, kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.
Apslēp mani no ļaunu ļaužu padomiem, no ļaundarītāju trakošanas.
3 Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.
Tie savas mēles trin kā zobenu, un uzvelk savas bultas, savus rūgtos vārdus,
4 Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia, humrushia ghafula bila woga.
Šaut slepeni nenoziedzīgam; tie šauj viņam piepeši un nebīstas.
5 Kila mmoja humtia moyo mwenzake katika mipango mibaya; huzungumza juu ya kuficha mitego yao, nao husema, “Ni nani ataiona?”
Tie iedrošinājās paši ļaunā padomā, tie runā, slepeni likt valgus, un saka: kas to redzēs?
6 Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema, “Tumebuni mpango mkamilifu!” Hakika nia na moyo wa mwanadamu vina hila.
Tie domā uz visādu blēdību, tiem gatavs ir viņu gudrais padoms, prātu un sirdi nevienam nevar izdibināt.
7 Bali Mungu atawapiga kwa mishale, nao ghafula wataangushwa.
Bet Dievs ar bultu tos šaus piepeši, ka tiem gan sāpēs.
8 Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao na kuwaleta kwenye maangamizi; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao kwa dharau.
Caur savu pašu mēli tie taps apgāzti; ikkurš, kas uz tiem skatās, bēgs.
9 Wanadamu wote wataogopa, watatangaza kazi za Mungu na kutafakari yale aliyoyatenda.
Un visi cilvēki bīsies un sacīs: to Dievs ir darījis, un sapratīs, ka tas ir Viņa darbs.
10 Wenye haki na wafurahi katika Bwana, na wakimbilie kwake; wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!
Tas taisnais priecāsies iekš Tā Kunga, un paļausies uz Viņu, un visi sirdsskaidrie teiktin teiksies.