< Zaburi 64 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu, uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.
`In Ebrewe thus, To the victorie, the salm of Dauid. `In Jerom `thus, To the ouercomer, the song of Dauid. God, here thou my preier, whanne Y biseche; delyuere thou my soule fro the drede of the enemy.
2 Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu, kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.
Thou hast defendid me fro the couent of yuele doers; fro the multitude of hem that worchen wickidnesse.
3 Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.
For thei scharpiden her tungis as a swerd, thei benten a bowe, a bittir thing;
4 Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia, humrushia ghafula bila woga.
for to schete in priuetees hym that is vnwemmed.
5 Kila mmoja humtia moyo mwenzake katika mipango mibaya; huzungumza juu ya kuficha mitego yao, nao husema, “Ni nani ataiona?”
Sodeynli thei schulen schete hym, and thei schulen not drede; thei maden stidefast to hem silf a wickid word. Thei telden, that thei schulden hide snaris; thei seiden, Who schal se hem?
6 Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema, “Tumebuni mpango mkamilifu!” Hakika nia na moyo wa mwanadamu vina hila.
Thei souyten wickidnessis; thei souyten, and failiden in sekinge. A man neiyhe to deep herte;
7 Bali Mungu atawapiga kwa mishale, nao ghafula wataangushwa.
and God schal be enhaunsid. The arowis of `litle men ben maad the woundis of hem;
8 Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao na kuwaleta kwenye maangamizi; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao kwa dharau.
and the tungis of hem ben maad sijk ayens hem. Alle men ben disturblid, that sien hem;
9 Wanadamu wote wataogopa, watatangaza kazi za Mungu na kutafakari yale aliyoyatenda.
and ech man dredde. And thei telden the werkis of God; and vndurstoden the dedis of God.
10 Wenye haki na wafurahi katika Bwana, na wakimbilie kwake; wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!
The iust man schal be glad in the Lord, and schal hope in hym; and alle men of riytful herte schulen be preisid.