< Zaburi 64 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu, uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.
(Til sangmesteren. En salme af David.) Hør, o Gud, min røst, når jeg klager, skærm mit Liv mod den rædsomme Fjende;
2 Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu, kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.
skjul mig for Ugerningsmændenes Råd, for Udådsmændenes travle Hob.
3 Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.
der hvæsser Tungen som Sværd, lægger giftige Ord på Buen
4 Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia, humrushia ghafula bila woga.
for i Løn at ramme den skyldfri, ramme ham brat og uset.
5 Kila mmoja humtia moyo mwenzake katika mipango mibaya; huzungumza juu ya kuficha mitego yao, nao husema, “Ni nani ataiona?”
Ihærdigt lægger de onde Råd, skryder af, at de lægger Snarer siger: "Hvem skulde se os?"
6 Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema, “Tumebuni mpango mkamilifu!” Hakika nia na moyo wa mwanadamu vina hila.
De udtænker onde Gerninger, fuldfører en gennemtænkt Tanke - og Menneskets Indre og Hjerte er dybt.
7 Bali Mungu atawapiga kwa mishale, nao ghafula wataangushwa.
Da rammer Gud dem med en Pil af Slaget rammes de brat;
8 Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao na kuwaleta kwenye maangamizi; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao kwa dharau.
han styrter dem for deres Tunges Skyld. Enhver, som ser dem, ryster på Hovedet;
9 Wanadamu wote wataogopa, watatangaza kazi za Mungu na kutafakari yale aliyoyatenda.
alle Mennesker frygter, forkynder, hvad Gud har gjort, og fatter hans Hænders Geming;
10 Wenye haki na wafurahi katika Bwana, na wakimbilie kwake; wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!
de retfærdige glædes i HERREN og lider på ham, de oprigtige af Hjertet jubler til Hobe!