< Zaburi 63 >
1 Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda. Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, nakutafuta kwa moyo wote; nafsi yangu inakuonea kiu, mwili wangu unakuonea wewe shauku, katika nchi kame na iliyochoka mahali ambapo hapana maji.
Kot komui ai Kot, nin joran I kin piridan komui. Nen i kin inon ion komui. Pali war ai kin inon ion komui nan jap madekon o monedi, waja me jota pil mi ia.
2 Nimekuona katika mahali patakatifu na kuuona uwezo wako na utukufu wako.
I waja i kin tamanda komui nan japwilim omui tanpaj im jaraui, pwe i men kilan omui manaman o linan.
3 Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakuadhimisha.
Pwe omui kalanan mau jan maur; kil en au ai kin kapina komui.
4 Nitakusifu siku zote za maisha yangu, na kwa jina lako nitainua mikono yangu.
I waja i inon ion kapina komui arain ai maur, o men pokada pa i kat ni mar omui.
5 Nafsi yangu itatoshelezwa kama kwa wingi wa vyakula; kwa midomo iimbayo kinywa changu kitakusifu wewe.
I me pan kaperen pan nen I o ai popol, ma i pan kak kapina komui ki au ai kaperen.
6 Kitandani mwangu ninakukumbuka wewe, ninawaza juu yako makesha yote ya usiku.
Ni ai kin wendi pon loj, i kin madamadaua duen komui, o ni ai pirida, i kin lokelokaia duen komui.
7 Kwa sababu wewe ndiwe msaada wangu, chini ya uvuli wa mbawa zako naimba.
Pwe komui jauaj pa i, o pan mot en lim omui kan i kin nijinij.
8 Nafsi yangu inaambatana nawe, mkono wako wa kuume hunishika.
Nen i kin tenidi on komui; lim omui pali maun kin apapwali
9 Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa, watakwenda chini kwenye vilindi vya dunia.
A irail me majamajan ia, pwen jaik ia di, pan lokidokila pan jappa.
10 Watatolewa wafe kwa upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
Re pan pupedi on nan kodlaj, o kidi en wel pan kan ir ala;
11 Bali mfalme atafurahi katika Mungu, wale wote waapao kwa jina la Mungu watamsifu, bali vinywa vya waongo vitanyamazishwa.
A nanmarki pan peren kida Kot. Me kin kaula on i, pan pwaida, pwe au en me likam akan pan pena pinla.