< Zaburi 63 >

1 Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda. Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, nakutafuta kwa moyo wote; nafsi yangu inakuonea kiu, mwili wangu unakuonea wewe shauku, katika nchi kame na iliyochoka mahali ambapo hapana maji.
Dāvida dziesma, kad viņš bija Jūda tuksnesī. Ak Dievs! Tu esi mans stiprais Dievs, Tevi es meklēju pašā rītā, pēc Tevis slāpst manai dvēselei, pēc Tevis ilgojās mana miesa sausā un izkaltušā zemē, kur ūdens nav.
2 Nimekuona katika mahali patakatifu na kuuona uwezo wako na utukufu wako.
Tā es svētā vietā pēc Tevis esmu skatījies, redzēt Tavu spēku un Tavu godību.
3 Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakuadhimisha.
Jo Tava žēlastība ir labāka nekā dzīvība; manas lūpas Tevi slavē.
4 Nitakusifu siku zote za maisha yangu, na kwa jina lako nitainua mikono yangu.
Tā es Tevi gribētu teikt mūžam, un pacelt savas rokas Tavā Vārdā.
5 Nafsi yangu itatoshelezwa kama kwa wingi wa vyakula; kwa midomo iimbayo kinywa changu kitakusifu wewe.
Tad mana dvēsele taptu paēdināta kā ar taukumiem un gardumiem, un mana mute Tevi slavētu ar priecīgām lūpām.
6 Kitandani mwangu ninakukumbuka wewe, ninawaza juu yako makesha yote ya usiku.
Es Tevi pieminu apguldamies, un uzmozdamies es domāju uz Tevi.
7 Kwa sababu wewe ndiwe msaada wangu, chini ya uvuli wa mbawa zako naimba.
Jo Tu esi mans palīgs, un Tavu spārnu pavēnī es dziedāšu priecīgi.
8 Nafsi yangu inaambatana nawe, mkono wako wa kuume hunishika.
Mana dvēsele Tev pieķeras, Tava labā roka mani tura.
9 Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa, watakwenda chini kwenye vilindi vya dunia.
Bet tie, kas manu dvēseli meklē izpostīt, nogrims pašos zemes dziļumos.
10 Watatolewa wafe kwa upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
Tos nodos zobena asmenim un tie būs lapsām par barību.
11 Bali mfalme atafurahi katika Mungu, wale wote waapao kwa jina la Mungu watamsifu, bali vinywa vya waongo vitanyamazishwa.
Bet ķēniņš priecāsies iekš Dieva; kas pie tā zvēr, tas lielīsies; jo melkuļu mute taps aizbāzta.

< Zaburi 63 >