< Zaburi 63 >
1 Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda. Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, nakutafuta kwa moyo wote; nafsi yangu inakuonea kiu, mwili wangu unakuonea wewe shauku, katika nchi kame na iliyochoka mahali ambapo hapana maji.
O Dios, sika iti Diosko! Sipapasnekak a mangsapsapul kenka, kawawnaka ti kararuak, ken tarigagayannaka ti lasagko, iti namaga ken iti natikag a daga nga awan ti danumna.
2 Nimekuona katika mahali patakatifu na kuuona uwezo wako na utukufu wako.
Isu a kinitaka iti santuariom tapno kitaek ti pannakabalin ken dayagmo.
3 Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakuadhimisha.
Gapu ta iti kinapudnom iti tulagmo ket nasaysayaat ngem iti biag, idaydayawnaka dagiti bibigko.
4 Nitakusifu siku zote za maisha yangu, na kwa jina lako nitainua mikono yangu.
Agyamanakto kenka bayat nga agbibiagak; itag-aykonto dagiti imak iti panagkararagko.
5 Nafsi yangu itatoshelezwa kama kwa wingi wa vyakula; kwa midomo iimbayo kinywa changu kitakusifu wewe.
Kaslaak la nangan iti pata ken taba; idaydayawnaka iti ngiwatko nga addaan ragsak dagiti bibigko.
6 Kitandani mwangu ninakukumbuka wewe, ninawaza juu yako makesha yote ya usiku.
No panpanunotenka iti iddak ken ut-utobenka iti agpatpatnag.
7 Kwa sababu wewe ndiwe msaada wangu, chini ya uvuli wa mbawa zako naimba.
Ta nagbalinka a katulongak, ken agkantaak a siraragsak iti salinong dagiti payyakmo.
8 Nafsi yangu inaambatana nawe, mkono wako wa kuume hunishika.
Kumpetak kenka; sarsarapaennak ti makannawan nga imam.
9 Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa, watakwenda chini kwenye vilindi vya dunia.
Ngem maipababanto iti kababaan a paset ti daga dagiti agpanggep a mangdadael iti biagko.
10 Watatolewa wafe kwa upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
Maipaimadanto iti pannakabalin ti kampilan, ken agbalindanto a taraon dagiti narungsot nga aso.
11 Bali mfalme atafurahi katika Mungu, wale wote waapao kwa jina la Mungu watamsifu, bali vinywa vya waongo vitanyamazishwa.
Ngem agrag-o ti ari gapu iti inaramid ti Dios; ipannakkelto isuna dagiti amin nga agkarkari kenkuana, ngem mapasardeng dagiti ngiwat dagiti agul-ulbod.