< Zaburi 63 >

1 Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda. Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, nakutafuta kwa moyo wote; nafsi yangu inakuonea kiu, mwili wangu unakuonea wewe shauku, katika nchi kame na iliyochoka mahali ambapo hapana maji.
O Pathen nang bou ka Pathen na hi; ken lungil tah in nang kahol e. Kalhagao in nadangchah in; twi veilouna gotna mun gamgo ahin ka tahsa pumpin nang ka hin lhangai e.
2 Nimekuona katika mahali patakatifu na kuuona uwezo wako na utukufu wako.
Na mun theng’a kon’in ka hin mun na loupina leh na thaneina chu ka hin mun ahi.
3 Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakuadhimisha.
Na mi ngailutna longlou chu mihem hinkhoma ma sang a phajo ahi; nang ka hin thangvah chim theipoi.
4 Nitakusifu siku zote za maisha yangu, na kwa jina lako nitainua mikono yangu.
Hinkho ka nei laisen nangma thangvah ing kating, nahenga taonan ka khut teni hin domsang ing kate.
5 Nafsi yangu itatoshelezwa kama kwa wingi wa vyakula; kwa midomo iimbayo kinywa changu kitakusifu wewe.
An twipen ka neh sang’in nang’in neihin lunglhaisah jon. Kipah tah in nangma thangvahnan la sangnge.
6 Kitandani mwangu ninakukumbuka wewe, ninawaza juu yako makesha yote ya usiku.
Kalupna mun a limgeh chan nang kagel gel jin, janteng jongle nangma lungel ho kangaito ji e.
7 Kwa sababu wewe ndiwe msaada wangu, chini ya uvuli wa mbawa zako naimba.
Nangma eikithopi nahijeh in, na lhaving lim noi ah kipah tah in vahchoila ka san ahi.
8 Nafsi yangu inaambatana nawe, mkono wako wa kuume hunishika.
Na ban thahattah jet lang in det tah in neituh in ahileh keiman nang ka tuhchah in ahi.
9 Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa, watakwenda chini kwenye vilindi vya dunia.
Keima eisumang goho chu hung mangthah diu ahi. Amaho chu leikotong athuhlai pena chu lhalut ding ahiuve.
10 Watatolewa wafe kwa upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
Amaho chu chemjam a thidiu sialho anchah anchah a pang diu ahi.
11 Bali mfalme atafurahi katika Mungu, wale wote waapao kwa jina la Mungu watamsifu, bali vinywa vya waongo vitanyamazishwa.
Ahinla lengpa chu Pathen a kipah ding ahi. Koi hileh Ama tahsan chan chun athangvah ding, mijouho vang suhthip a umdiu ahi.

< Zaburi 63 >