< Zaburi 62 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi. Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko; wokovu wangu watoka kwake.
Anusak nga urayen ti Dios, aggapu kenkuana ti pannakaisalakanko.
2 Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni ngome yangu, sitatikisika kamwe.
Isuna laeng ti batok ken pannakaisalakanko; isuna ti nangato a torrek; saanakto a magaraw a pulos.
3 Mtamshambulia mtu hata lini? Je, ninyi nyote mtamtupa chini, ukuta huu ulioinama na uzio huu unaotikisika?
Kasano kabayag ti panangdarupyo iti maysa a tao, tapno maitumbayo isuna a kasla nakairig a diding wenno marmarba nga alad?
4 Walikusudia kikamilifu kumwangusha toka mahali pake pa fahari; wanafurahia uongo. Kwa vinywa vyao hubariki, lakini ndani ya mioyo yao hulaani.
Agdamagda kenkuana tapno laeng ibabada isuna manipud iti mararaem a saadna; pagay-ayatda iti agsao kadagiti inuulbod; bendisionanda isuna babaen kadagiti ngiwatda, ngem kadagiti pusoda, ilunlunodda isuna. (Selah)
5 Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake, tumaini langu latoka kwake.
Anusak nga urayen ti Dios; ta isu ti paggapuan ti namnamak.
6 Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu; ndiye ngome yangu, sitatikisika.
Isuna laeng ti batok ken pannakaisalakanko; isuna ti nangato a torek; saanakto a magaraw.
7 Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu, ndiye mwamba wangu wenye nguvu na kimbilio langu.
Adda iti Dios ti pannakaisalakan ken dayawko; ti Dios iti bato ti pigsak ken ti kamangko.
8 Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote, miminieni mioyo yenu kwake, kwa kuwa Mungu ni kimbilio letu.
Agtalekkayo kenkuana iti amin a tiempo, dakayo a tattao; ibagayo kenkuana ti amin a parikutyo; ti Dios ket pagkamangantayo. (Selah)
9 Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu, nao wa ngazi ya juu ni uongo tu; wakipimwa kwenye mizani, si chochote; wote kwa pamoja ni pumzi tu.
Pudno nga awan pategna dagiti nababa a tao, ken nauulbod dagiti nangato a tattao; nalag-an ti timbangda kadagiti timbangan; pagtitiponen a timbangen ket nalaglag-anda.
10 Usitumainie vya udhalimu wala usijivune kwa vitu vya wizi; ingawa utajiri wako utaongezeka, usiviwekee moyo wako.
Saankayo nga agtalek iti panangparigat wenno panagtakaw; ken saankayo a mangnamnama iti awan serserbina a kinabaknang, ta saanda nga agbunga; saankayo nga agtalek kadagitoy.
11 Jambo moja Mungu amelisema, mambo mawili nimeyasikia: kwamba, Ee Mungu, wewe una nguvu,
Saan lang a naminsan a nangngegko a sinao ti Dios daytoy: adda kenkuana ti pannakabalin.
12 na kwamba, Ee Bwana, wewe ni mwenye upendo. Hakika utampa kila mtu thawabu kwa kadiri ya alivyotenda.
Kasta met a napudnoka, O Apo, iti tulagmo, ta subsubadam ti tunggal tao segun iti inaramidna.

< Zaburi 62 >