< Zaburi 62 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi. Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko; wokovu wangu watoka kwake.
Veisuunjohtajalle; Jedutunin tapaan; Daavidin virsi. Jumalaa yksin minun sieluni hiljaisuudessa odottaa, häneltä tulee minulle apu.
2 Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni ngome yangu, sitatikisika kamwe.
Hän yksin on minun kallioni, minun apuni ja turvani: en minä suuresti horju.
3 Mtamshambulia mtu hata lini? Je, ninyi nyote mtamtupa chini, ukuta huu ulioinama na uzio huu unaotikisika?
Kuinka kauan te yhtä miestä ahdistatte, hänet yhdessä surmataksenne, niinkuin hän olisi kaatuva seinä, niinkuin murrettu muuri?
4 Walikusudia kikamilifu kumwangusha toka mahali pake pa fahari; wanafurahia uongo. Kwa vinywa vyao hubariki, lakini ndani ya mioyo yao hulaani.
He vain pitävät neuvoa, miten syöstä hänet korkeudestaan. He rakastavat valhetta, he siunaavat suullansa ja kiroavat sydämessänsä. (Sela)
5 Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake, tumaini langu latoka kwake.
Odota yksin Jumalaa hiljaisuudessa, minun sieluni, sillä häneltä tulee minun toivoni.
6 Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu; ndiye ngome yangu, sitatikisika.
Hän yksin on minun kallioni, minun apuni ja turvani: en minä horju.
7 Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu, ndiye mwamba wangu wenye nguvu na kimbilio langu.
Jumalassa on minun apuni ja kunniani. Minun väkevyyteni kallio, minun turvani on Jumala.
8 Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote, miminieni mioyo yenu kwake, kwa kuwa Mungu ni kimbilio letu.
Turvatkaa häneen joka aika, te kansa; vuodattakaa hänen eteensä sydämenne. Jumala on meidän turvamme. (Sela)
9 Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu, nao wa ngazi ya juu ni uongo tu; wakipimwa kwenye mizani, si chochote; wote kwa pamoja ni pumzi tu.
Vain tuulen henkäystä ovat ihmiset, vain valhetta ihmisten lapset: kaikki he nousevat vaa'assa ylös köykäisempinä kuin tuulenhenkäys.
10 Usitumainie vya udhalimu wala usijivune kwa vitu vya wizi; ingawa utajiri wako utaongezeka, usiviwekee moyo wako.
Älkää luottako väkivaltaan, älkää turhaan panko toivoanne ryöstettyyn tavaraan. Jos rikkautta karttuu, älkää siihen sydäntänne kiinnittäkö.
11 Jambo moja Mungu amelisema, mambo mawili nimeyasikia: kwamba, Ee Mungu, wewe una nguvu,
Kerran on Jumala sanonut, kahdesti olen sen kuullut: väkevyys on Jumalan.
12 na kwamba, Ee Bwana, wewe ni mwenye upendo. Hakika utampa kila mtu thawabu kwa kadiri ya alivyotenda.
Ja sinun, Herra, on armo; sillä sinä maksat kullekin hänen tekojensa mukaan.

< Zaburi 62 >