< Zaburi 62 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi. Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko; wokovu wangu watoka kwake.
Na da Gode Ea na gaga: ma: ne gebewane ouesala. Na da Ea fawane hamoma: ne ouesala.
2 Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni ngome yangu, sitatikisika kamwe.
Ea fawane da na gaga: sa. E da na Gaga: sudafa. Amaiba: le na da enoga hamedafa hasali dagoi ba: mu.
3 Mtamshambulia mtu hata lini? Je, ninyi nyote mtamtupa chini, ukuta huu ulioinama na uzio huu unaotikisika?
Nama ha lai huluane, dilia! Na gasa da gagoi gadelale sa: i, amo defele gala. Amaiba: le, habowali seda dilia da nama doagala: ma: bela: ?
4 Walikusudia kikamilifu kumwangusha toka mahali pake pa fahari; wanafurahia uongo. Kwa vinywa vyao hubariki, lakini ndani ya mioyo yao hulaani.
Dilia da udigili fawane amo nama, na nodosu sogea amogainini gudu sa: ima: ne hamosa amola dilia da ogogole nodosu hamosa. Dilia da nama nodoma: ne sia: sia: sa, be dilia dogo ganodini da nama gagabusa.
5 Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake, tumaini langu latoka kwake.
Na da Godema fawane fa: no bobogesa. Na dafawane hamoma: beyale dawa: su da Ema fawane gala.
6 Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu; ndiye ngome yangu, sitatikisika.
Gode Hisu fawane da na Gaga: sudafa gala. Amaiba: le na da enoga hamedafa hasali dagoi ba: mu.
7 Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu, ndiye mwamba wangu wenye nguvu na kimbilio langu.
Gode Hi fawane da hamonanebeba: le, na da gaga: i dagoi, amola eno dunu da nama nodone dawa: sa. E da na Gaga: su gasa bagadedafa gala. E da na ougihalesisu gala.
8 Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote, miminieni mioyo yenu kwake, kwa kuwa Mungu ni kimbilio letu.
Na dunu! Eso huluane Godema dafawaneyale dawa: ma! Dilia bidi hamosu huluane Ema adoma! Bai E da ninia wamoaligisu sogebi gala.
9 Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu, nao wa ngazi ya juu ni uongo tu; wakipimwa kwenye mizani, si chochote; wote kwa pamoja ni pumzi tu.
Osobo bagade dunu huluane da mifo afae fulabolesibi agoai gala. Dunu bagade amola fonobahadi huluane, da defele hamedei amola wadela: i gala. Ilia da dioi defesu da: iya ligisili ba: sea, dioi defesu da heda: i hamedafa ba: sa, ilia da mifo fulaboi afae ea hagi defele hagi gala.
10 Usitumainie vya udhalimu wala usijivune kwa vitu vya wizi; ingawa utajiri wako utaongezeka, usiviwekee moyo wako.
Dilia dafawaneyale dawa: su amoga gasa fili, eno dunu banenesimusa: mae dawa: ma. Liligi wamolale bagade gagumusa: mae dawa: ma. Amola dilia liligi gagui da bagade heda: sea, amoma bagade mae fa: no bobogema.
11 Jambo moja Mungu amelisema, mambo mawili nimeyasikia: kwamba, Ee Mungu, wewe una nguvu,
Na da Gode Ea agoane sia: be enoenoia nabi. “Gasa bagade hou da Na: fawane, amola mae fisili asigidafa hou da Na: fawane.” Hina Gode! Di Disu fawane, dunu ilia hou hamobe defele, ilima bidi iaha!
12 na kwamba, Ee Bwana, wewe ni mwenye upendo. Hakika utampa kila mtu thawabu kwa kadiri ya alivyotenda.