< Zaburi 61 >
1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, sikia kilio changu, usikilize maombi yangu.
MAIN Kot, kom kotin ereki ai likelikwir o kotin mani ai kapakap!
2 Kutoka miisho ya dunia ninakuita, ninaita huku moyo wangu unadhoofika; uniongoze kwenye mwamba ule ulio juu kuliko mimi.
Jan ni imwin jappa i pan likwir won komui, ma monion i majakada, kom pan kotin kalua ia pon paip ileile eu.
3 Kwa kuwa umekuwa kimbilio langu, ngome imara dhidi ya adui.
Pwe komui kapore pa i o imaten kelail on ai imwintiti kan.
4 Natamani kukaa hemani mwako milele, na kukimbilia chini ya uvuli wa mbawa zako.
Kom kotin mueid on ia, i en mimieta nan japwilim tanpaj omui kokolata, o diar wajan kamaur pan lim omui kan.
5 Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu, umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.
Pwe komui Kot mani duen ai inau; kom kin kotiki on ia er jojo en ir, me majak mar omui.
6 Mwongezee mfalme siku za maisha yake, miaka yake kwa vizazi vingi.
Komui en kotiki on nanmarki maur warai, pwe a jaunpar akan en totola kokolata.
7 Yeye na atawazwe kwenye kiti cha enzi mbele za Mungu milele; amuru upendo wako na uaminifu wako vimlinde.
Pwe a en mimieta mon Kot kokolata; kom kotin kajale on I kalanan o melel, me pan jinjila i.
8 Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.
I ap pan kauli on mar omui kokolata, pwe i en kapwaiada ai inau kan ni ran karoj.