< Zaburi 61 >
1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, sikia kilio changu, usikilize maombi yangu.
O Elohim Pathen ka kana neingaipeh in! Ka taona hi ngai in!
2 Kutoka miisho ya dunia ninakuita, ninaita huku moyo wangu unadhoofika; uniongoze kwenye mwamba ule ulio juu kuliko mimi.
Lungsung lunghemnan eilonkhum teng leiset kol kimvel a kon'in panpi ngaichan ka hin kou e. Hoidoh na songpi sang chung'ah neipuitou in,
3 Kwa kuwa umekuwa kimbilio langu, ngome imara dhidi ya adui.
ajeh chu nangma hi ka kiselna mun olna pen chu na hi, ka melmate'n ahin phahjoulouna kulpi chu nangma na hi.
4 Natamani kukaa hemani mwako milele, na kukimbilia chini ya uvuli wa mbawa zako.
Na mun theng'a tonsot'in neichensah in hilai chu na lha limnoi kiselna chu ahi.
5 Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu, umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.
O Elohim Pathen ka kitepna chu nei jahpehtai, nangma gingte chan dia na gonpeh na goulona mun chu neipeh ahitai.
6 Mwongezee mfalme siku za maisha yake, miaka yake kwa vizazi vingi.
Lengpa hinkho hi kum tamtah pehben! Khangkit geiin jong hinghoi in!
7 Yeye na atawazwe kwenye kiti cha enzi mbele za Mungu milele; amuru upendo wako na uaminifu wako vimlinde.
Elohim Pathen hoidam na achun vai hom jing hen. Na mi ngailutna longlou le na kitahna chun kaihoi jing hen.
8 Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.
Hiteng chuleh nitina ka kitepna suh bulhit ingkating tonsot'in na min thangvah jing tang e.