< Zaburi 60 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi. Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu, umekasirika: sasa turejeshe upya!
Načelniku godbe, na šestostrunje pričanja, pesem odlična Davidova, za uk. Ko se je boril sè Sirci Mezopotamijskimi, in Sirci Zobejskimi in je Joab vrnivši se pobil Edomejcev v solni dolini dvanajst tisoč. O Bog, zavrgel si nas bil, raztrgal nas, srdit si bil, povrni se nam.
2 Umetetemesha nchi na kuipasua; uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.
Zmajal si bil deželo, razdrobil jo; sceli kosove njene, ker omahuje.
3 Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa; umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.
Storil si bil, da je ljudstvo tvoje čutilo trdóst, dál si nam bil piti grozo kakor vino.
4 Kwa wale wanaokucha wewe, umewainulia bendera, ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
Dal si njim, ki se tebe bojé, zastavo, katero naj rabijo, zaradi resnice mogočno.
5 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
Da se rešijo ljubljenci tvoji; reši z desnico svojo in usliši me.
6 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
Bog je govoril po svetosti svoji, radoval se bodem; v delež dobim Sihem, in dolino Sukotsko merim.
7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu; Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
Moj je Gilead in moj Manase in Efraim glave moje moč, Juda postavodajalec moj.
8 Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
Moab umivalnica moja, na Edomejca vržem čevelj svoj, nad máno, Palestina, ukaj!
9 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
Kdo bi me popeljal v mesto trdno, kdo bi me peljal noter do Edomeje?
10 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
Ali nisi bil ti, Bog, zavrgel nas; da nisi hodil, Bog, med našimi vojskámi?
11 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
Daj nam pomoč zoper sovražnika; ker ničeva je pomoč človeška.
12 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.
V Bogu delajmo vrlo, in on bode poteptal sovražnike naše.