< Zaburi 60 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi. Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu, umekasirika: sasa turejeshe upya!
Anumzamoka, Kagra ko tatrenka tazeri haviza hu'nane. Kagra krimpa aherantenka e'nananki, menina ete tazeri knare huo!
2 Umetetemesha nchi na kuipasua; uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.
Kagra mopa eri tore hankeno, kekora reno vuno eno hu'neanki, ana kekokana renagro. Na'ankure mopamo'a zahufa kazara nehie.
3 Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa; umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.
Kagra vaheka'amofona rama'a knaza zaminka zamazeri amuho nehunka, hankave waini taminketa neteta neginagia hu'none.
4 Kwa wale wanaokucha wewe, umewainulia bendera, ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
Hianagi Kagri'ma koro'ma hugante'za, mono'ma hunegantaza vahera kevemo'ma zamavate'ma zamazeri zankura, mago avameza zami'nane.
5 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
Kagrama kavesima nezmantana vahera zamagu'vazio. Tamaga kazanu taguranevazinka, nunamuntia antahiraminka kenona huranto.
6 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
Ruotge hu'nea konarari'afi mani'neno, ama huvempa kea hu'ne. Nagra muse hu'na Sekemu kumara eri fako nehu'na, Sukoti agupomofo zaza'ane upa'anena mesarimi hu'na kegahue.
7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu; Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
Giliati'ene Manase'enena nagri suza mani'na'e. Hanki Efraemi'a Nagri fetori manigeno, Juda'a kini azompani'a mani'ne.
8 Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
Hianagi Moapu mopa tima nefroa zuompani'a me'nigeno, Edomu mopare nagia anona zafitregahue. Filistia vahera hara huzamagatere'na musena hugahue.
9 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
Hagi iza navareno hankavenentake vihuma me'nea rankumapina vugahie? Iza navareno Edomu moparera vugahie?
10 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
Anumzamoka Kagra tatrenka kamefira huneramino? Kagra ru'enena tagri sondia vahetaminena hatera ovugosano?
11 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
Taza hunka ha' vahetia hara huzmanto, na'ankure vahetfamo'za taza hugara osu'naze.
12 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.
Anumzamofo hanavereti ha' vahetia hara huzmagateregahune. Agra ha' vahetia zamahetreteno, zamagofetu agia reno zamare hapatigahie.

< Zaburi 60 >