< Zaburi 60 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi. Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu, umekasirika: sasa turejeshe upya!
Pour ceux qui seront changés, pour une inscription de titre par David lui-même, pour la doctrine, Lorsqu’il brûla la Mésopotamie de Syrie et Sobal, et que Joab, étant revenu, frappa l’Idumée dans la vallée des Salines, par la défaite de douze mille hommes. Ô Dieu, vous nous avez rejetés, et vous nous avez détruits; vous avez été irrité; et ensuite vous avez eu pitié de nous.
2 Umetetemesha nchi na kuipasua; uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.
Vous avez ébranlé la terre, et vous l’avez bouleversée; réparez ses brisures, parce qu’elle a été ébranlée.
3 Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa; umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.
Vous avez montré à votre peuple des châtiments rigoureux; vous nous avez fait boire du vin de componction.
4 Kwa wale wanaokucha wewe, umewainulia bendera, ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
Vous avez donné à ceux qui vous craignent un signal, afin qu’ils fuient à la face de l’arc:
5 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
Sauvez-moi par votre droite, et exaucez-moi.
6 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
Dieu a parlé dans son sanctuaire: Je me réjouirai, et je partagerai Sichem, et je mesurerai la vallée des tabernacles.
7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu; Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
À moi est Galaad, et à moi est Manassé, et Ephraïm est la force de ma tête.
8 Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
Moab est le vase de mon espérance. Jusque dans l’Idumée j’étendrai mes pas; des étrangers me sont devenus amis.
9 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
Qui me conduira dans une ville fortifiée? qui me conduira jusque dans l’Idumée?
10 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
Ne sera-ce pas vous, ô Dieu, qui nous avez rejetés? et ne sortirez-vous point, ô Dieu, à la tête de nos armées?
11 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
Donnez-nous du secours, pour nous tirer de la tribulation, parce que vain est le salut de l’homme.
12 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.
En Dieu nous ferons preuve de valeur; et lui-même réduira au néant ceux qui nous tourmentent.

< Zaburi 60 >