< Zaburi 60 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi. Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu, umekasirika: sasa turejeshe upya!
Jusqu'à la Fin, pour ceux qui seront transformés, avec cette inscription de David: Instruction, Lorsqu'il incendia la Mésopotamie syrienne et la Syrie de Sobal, et que Joab revint, et qu'il tailla en pièces douze mille hommes dans le val des salines. O Dieu, tu nous as repoussés, tu nous as détruits, toi tu t'es mis en colère; puis tu as eu pitié de nous.
2 Umetetemesha nchi na kuipasua; uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.
Tu as ébranlé la terre, et tu l'as troublée; guéris ses meurtrissures, car elle a tremblé.
3 Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa; umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.
Tu as montré ta sévérité à ton peuple; tu nous as fait boire le vin de la componction.
4 Kwa wale wanaokucha wewe, umewainulia bendera, ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
Tu as donné un signe à ceux qui te craignent pour qu'ils échappent aux atteintes de l'arc. Afin que tes bien-aimés soient délivrés,
5 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
Sauve-moi par ta droite, et exauce-moi.
6 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
Dieu a parlé en son saint temple; je me réjouirai, et je partagerai Sichem, et je mesurerai le val des Tabernacles.
7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu; Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
A moi est Galaad, à moi Manassé; Ephraïm est l'appui de ma tête, Juda est mon roi,
8 Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
Et Moab, le vase de mon espérance; je poserai ma sandale sur l'Idumée; les étrangers me sont soumis.
9 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
Qui me ramènera dans la ville forte? Qui me guidera jusqu'à la terre d'Edom?
10 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
N'est-ce pas toi, qui nous avais repoussés, ô Dieu, qui ne sortais plus à la tête de nos armées?
11 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
Donne-nous ton secours pour nous tirer de nos tribulations; car il est vain le salut qui vient de l'homme.
12 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.
En Dieu nous mettrons notre force, et lui-même réduira à néant nos ennemis.