< Zaburi 60 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi. Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu, umekasirika: sasa turejeshe upya!
`In Ebreu thus, To victorie, on the witnessyng of roose, the swete song of Dauid, to teche, `whanne he fauyte ayens Aram of floodis, and Sirie of Soba; and Joab turnede ayen, and smoot Edom in the `valei of salt pittis, twelue thousynde. `In Jeroms translacioun thus, To the ouercomer for lilies, the witnessing of meke and parfit Dauid, to teche, whanne he fauyte ayens Sirie of Mesopotamye, and Soba, and so forth. God, thou hast put awei vs, and thou hast distried vs; thou were wrooth, and thou hast do merci to vs.
2 Umetetemesha nchi na kuipasua; uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.
Thou mouedist the erthe, and thou disturblidist it; make thou hool the sorewis therof, for it is moued.
3 Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa; umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.
Thou schewidist harde thingis to thi puple; thou yauest drynk to vs with the wyn of compunccioun.
4 Kwa wale wanaokucha wewe, umewainulia bendera, ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
Thou hast youe a signefiyng to hem that dreden thee; that thei fle fro the face of the bouwe. That thi derlyngis be delyuered;
5 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
make thou saaf with thi riyt hond `the puple of Israel, and here thou me.
6 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
God spak bi his hooli; Y schal be glad, and Y schal departe Siccimam, and Y schal meete the greet valei of tabernaclis.
7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu; Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
Galaad is myn, and Manasses is myn; and Effraym is the strengthe of myn heed.
8 Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
Juda is my king; Moab is the pot of myn hope. In to Idumee Y schal stretche forth my scho; aliens ben maad suget to me.
9 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
Who schal lede me in to a citee maad strong; who schal leede me til in to Ydumee?
10 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
Whether not thou, God, that hast put awei vs; and schalt thou not, God, go out in oure vertues?
11 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
Lord, yyue thou to vs help of tribulacioun; for the heelthe of man is veyn.
12 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.
In God we schulen make vertu; and he schal bringe to nouyt hem that disturblen vs.

< Zaburi 60 >