< Zaburi 60 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi. Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu, umekasirika: sasa turejeshe upya!
Til Sangmesteren. Al-sjusjan-edut. En Miktam af David til Indøvelse,
2 Umetetemesha nchi na kuipasua; uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.
dengang han kæmpede med Aram-Naharajim og Aram-Zoba, og Joab vendte tilbage og slog Edomiterne i Saltdalen, 12 000 Mand.
3 Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa; umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.
Gud, du har stødt os fra dig, nedbrudt os, du vrededes — vend dig til os igen;
4 Kwa wale wanaokucha wewe, umewainulia bendera, ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
du lod Landet skælve, slaa Revner, læg nu dets Brist, thi det vakler!
5 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
Du lod dit Folk friste ondt, iskænked os døvende Vin.
6 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
Dem, der frygter dig, gav du et Banner, hvorhen de kan fly for Buen. (Sela)
7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu; Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
Til Frelse for dine elskede hjælp med din højre, bønhør os!
8 Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
Gud talede i sin Helligdom: »Jeg vil udskifte Sikem med Jubel, udmaale Sukkots Dal;
9 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
mit er Gilead, mit er Manasse, Efraim er mit Hoveds Værn, Juda min Herskerstav,
10 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
Moab min Vaskeskaal, paa Edom kaster jeg min Sko, over Filisterland jubler jeg.«
11 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
Hvo bringer mig hen til den faste Stad, hvo leder mig hen til Edom?
12 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.
Har du ikke, Gud, stødt os fra dig? Du ledsager ej vore Hære. Giv os dog Hjælp mod Fjenden! Blændværk er Menneskers Støtte. Med Gud skal vi øve vældige Ting, vore Fjender træder han ned!