< Zaburi 6 >
1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako, wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.
Untuk pemimpin kor. Dengan permainan kecapi. Menurut lagu yang kedelapan. Mazmur Daud. TUHAN, janganlah menghajar aku dalam kemarahan-Mu, jangan menghukum aku dalam kegusaran-Mu.
2 Unirehemu Bwana, kwa maana nimedhoofika; Ee Bwana, uniponye, kwa maana mifupa yangu ina maumivu makali.
Kasihanilah aku ya TUHAN, sebab aku kehabisan tenaga, kuatkanlah aku sebab aku kepayahan.
3 Nafsi yangu ina uchungu mwingi. Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?
Hatiku sangat kebingungan; sampai kapan Kautinggalkan aku, ya TUHAN?
4 Geuka Ee Bwana, unikomboe, uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.
Kembalilah, TUHAN, dan luputkanlah aku, selamatkanlah aku karena kasih-Mu.
5 Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol )
Sebab di alam maut Engkau tidak diingat lagi; tak ada yang memuji Engkau di dunia orang mati. (Sheol )
6 Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni; usiku kucha nafurikisha kitanda changu kwa machozi; nimelowesha viti vyangu vya fahari kwa machozi.
Aku letih lesu karena mengaduh; setiap malam air mataku mengalir membasahi tempat tidurku.
7 Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.
Mataku rabun karena sedih, dan suram karena musuh-musuhku.
8 Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya, kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.
Enyahlah, hai orang-orang jahat, sebab TUHAN telah mendengar tangisku.
9 Bwana amesikia kilio changu kwa huruma, Bwana amekubali sala yangu.
TUHAN mendengar permohonanku dan menerima doaku.
10 Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika, watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.
Semua musuhku akan terkejut dan malu dan segera mundur dengan tersipu-sipu.