< Zaburi 6 >

1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako, wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.
Přednímu kantoru na neginot, k nízkému zpěvu, žalm Davidův. Hospodine, netresci mne v hněvě svém, ani v prchlivosti své kárej mne.
2 Unirehemu Bwana, kwa maana nimedhoofika; Ee Bwana, uniponye, kwa maana mifupa yangu ina maumivu makali.
Smiluj se nade mnou, Hospodine, neboť jsem zemdlený; uzdrav mne, Hospodine, nebo ztrnuly kosti mé.
3 Nafsi yangu ina uchungu mwingi. Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?
Ano i duše má předěšena jest náramně, ty pak, Hospodine, až dokavad?
4 Geuka Ee Bwana, unikomboe, uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.
Navratiž se, Hospodine, a vytrhni duši mou; spomoz mi pro milosrdenství své.
5 Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol h7585)
Nebo mrtví nezpomínají na tebe, a v hrobě kdo tě bude oslavovati? (Sheol h7585)
6 Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni; usiku kucha nafurikisha kitanda changu kwa machozi; nimelowesha viti vyangu vya fahari kwa machozi.
Ustávám v úpění svém, ložce své každé noci svlažuji, slzami svými postel svou smáčím.
7 Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.
Sškvrkla se zámutkem tvář má, sstarala se příčinou všech nepřátel mých.
8 Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya, kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.
Odstuptež ode mne všickni činitelé nepravosti; neboť jest vyslyšel Hospodin hlas pláče mého.
9 Bwana amesikia kilio changu kwa huruma, Bwana amekubali sala yangu.
Vyslyšel Hospodin pokornou modlitbu mou, Hospodin modlitbu mou přijal.
10 Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika, watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.
Nechažť se zastydí a předěsí zřejmě všickni nepřátelé moji, nechažť jsou zpět obráceni a rychle zahanbeni.

< Zaburi 6 >