< Zaburi 6 >

1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako, wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.
Zborovođi. Uz žičano glazbalo. U oktavi. Psalam. Davidov. Jahve, nemoj me karati u srdžbi svojoj, ne kažnjavaj me u svojoj jarosti!
2 Unirehemu Bwana, kwa maana nimedhoofika; Ee Bwana, uniponye, kwa maana mifupa yangu ina maumivu makali.
Smiluj mi se, Jahve, jer sam iznemog'o, Jahve, ozdravi me jer dršću kosti moje.
3 Nafsi yangu ina uchungu mwingi. Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?
Duboko mi je duša potresena, a ti, o Jahve - dokle ćeš?
4 Geuka Ee Bwana, unikomboe, uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.
Vrati se, Jahve, dušu mi izbavi, spasi me rad svoje dobrote:
5 Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol h7585)
jer među mrtvima tko te se sjeća, u Podzemlju tko ti hvale pjeva? (Sheol h7585)
6 Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni; usiku kucha nafurikisha kitanda changu kwa machozi; nimelowesha viti vyangu vya fahari kwa machozi.
Iznemogoh od pusta jecanja, u noći postelju plačem zalijevam, suzama ležaj natapam.
7 Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.
Od žalosti oko mi gasne i slabi, jer su mnogi neprijatelji moji.
8 Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya, kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.
Odstupite od mene, svi opaki, jer je Jahve plač moj čuo.
9 Bwana amesikia kilio changu kwa huruma, Bwana amekubali sala yangu.
Čuo je Jahve molbu moju, Jahve je primio moju molitvu.
10 Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika, watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.
Neka se postide i užasno zbune svi moji dušmani, i puni srama neka smjesta odstupe.

< Zaburi 6 >