< Zaburi 6 >

1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako, wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.
Rhotoeng aka mawt ham a lung rhet dongkah David Tingtoenglung Aw BOEIPA, na thintoek neh nan tluung pawt tih, na kosi neh kai nan toel moenih.
2 Unirehemu Bwana, kwa maana nimedhoofika; Ee Bwana, uniponye, kwa maana mifupa yangu ina maumivu makali.
Aw BOEIPA, Kai ka thana sut dongah kai n'rhen mai. Ka rhuh a hlinghlawk dongah kai n'hoeih sak lah BOEIPA.
3 Nafsi yangu ina uchungu mwingi. Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?
Te dongah ka hinglu loh mat let coeng. Tedae BOEIPA nang me hil nim na koe ve?
4 Geuka Ee Bwana, unikomboe, uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.
Aw BOEIPA, ha mael laeh. Ka hinglu he pumcum sak lamtah, na sitlohnah neh kai he n'khang lah.
5 Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol h7585)
Dueknah khuiah nang aka poek te a om moenih. Nang te saelkhui lamkah ulong n'uem eh? (Sheol h7585)
6 Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni; usiku kucha nafurikisha kitanda changu kwa machozi; nimelowesha viti vyangu vya fahari kwa machozi.
Ka hueinah nen khaw ka kohnue coeng tih, khoyin takuem ka baiphaih dongah puet ka yoka. Te dongahka mikphi neh ka soengca ka sulpuem sak.
7 Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.
Ka mik khaw konoinah neh hmaang tih ka puencak cungkuem dongah ka haimo coeng.
8 Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya, kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.
Ka rhah ol he BOEIPA loh a yaak coeng dongah boethae aka saii boeih kai taeng lamkah nong uh laeh.
9 Bwana amesikia kilio changu kwa huruma, Bwana amekubali sala yangu.
BOEIPA loh ka lungmacil a yaak tih, BOEIPA loh ka thangthuinah a doe.
10 Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika, watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.
Ka thunkha boeih loh yak uh saeh lamtah darhek let uh saeh. Mikhaptok ah mael uh saeh lamtah yak uh saeh.

< Zaburi 6 >