< Zaburi 59 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue. Ee Mungu, uniokoe na adui zangu, unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.
Načelniku godbe: "Ne pogubi"; Davidova pesem odlična; ko je bil poslal Savel može, ki so ogledavali hišo njegovo, da bi ga umorili. Reši me sovražnikov mojih, moj Bog; nad nje, ki se spenjajo v méne, povzdigni me.
2 Uniponye na watu watendao mabaya, uniokoe kutokana na wamwagao damu.
Reši me njih, ki delajo krivico, in ljudî krvoločnih otmi me.
3 Tazama wanavyonivizia! Watu wakali wananifanyia hila, ingawa Ee Bwana, mimi sijakosea wala kutenda dhambi.
Ker, glej, življenje moje zalezujejo, shajajo se zoper mene krepki, brez hudobije moje, brez greha mojega, Gospod!
4 Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia. Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!
Brez krivice moje se zbirajo in pripravljajo: vstani meni naproti in ozri se.
5 Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli! Zinduka uyaadhibu mataifa yote, usionyeshe huruma kwa wasaliti.
Ti torej, Gospod, Bog vojnih krdél, Bog Izraelov, zbúdi se, obiskat vse one narode: ne bodi milosten nikomur, ki dela krivico, nezvesto.
6 Hurudi wakati wa jioni, wakibweka kama mbwa, wakiuzurura mji.
Povračajo se zvečer; bevkajo kakor pes, in obdajajo mesto.
7 Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao, hutema upanga kutoka midomo yao, nao husema, “Ni nani atakayetusikia?”
Glej, bljujejo z usti svojimi, z mečem na ustnah svojih; ker kdo sliši? pravijo.
8 Lakini wewe, Bwana, uwacheke; unayadharau mataifa hayo yote.
Ti pa, Gospod, bodeš se jim smijal, zasmehoval bodeš vse tiste narode.
9 Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe, wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,
Ko ima on moč, gledal bodem v té, ker Bog je moj grad.
10 Mungu wangu unipendaye. Mungu atanitangulia, naye atanifanya niwachekelee wale wanaonisingizia.
Bog milosti moje bode me prestregel; Bog storí, da bodem gledal sovražnike svoje.
11 Lakini usiwaue, Ee Bwana, ngao yetu, au sivyo watu wangu watasahau. Katika uwezo wako wafanye watangetange na uwashushe chini.
Ne pobij jih, da ne pozabijo rojaki moji; izženi jih s krepostjo svojo, in pahni jih dol, ščit naš, Gospod!
12 Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao, kwa ajili ya maneno ya midomo yao, waache wanaswe katika kiburi chao. Kwa ajili ya laana na uongo wanaotamka,
Greh njih ust je njih ustnic beseda; ko bodejo vjeti v napuhu svojem, tedaj naj oznanjajo od prekletstva, tedaj od slabosti.
13 wateketeze katika ghadhabu, wateketeze hadi wasiwepo tena. Ndipo itakapofahamika katika miisho ya dunia kwamba Mungu anatawala juu ya Yakobo.
Pokončaj v srdu, pokončaj, da jih ne bode več; vedó naj, da Bog gospoduje v Jakobu do mej zemlje.
14 Hurudi jioni, wakibweka kama mbwa, wakiuzurura mji.
Ko se povračajo zvečer, bevkajo naj kakor pes, in obdajajo mesto.
15 Wanatangatanga wakitafuta chakula, wasipotosheka hubweka kama mbwa.
Sami se naj gonijo, da bi jedli; ko ne bodejo nasíteni, tedaj primorani naj bodejo prenočevati.
16 Lakini mimi nitaziimba nguvu zako, asubuhi nitaimba juu ya upendo wako; kwa maana wewe ndiwe ngome yangu na kimbilio langu wakati wa shida.
Jaz pa bodem prepeval moč tvojo, in pel bodem do vsakega jutra milost tvojo, da si ti mi bil grad moj in pribežališče, ko sem bil v stiski.
17 Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa. Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu, Mungu unipendaye.
O moč moja, tebi bodem prepeval, da je Bog grad moj, Bog milosti moje.