< Zaburi 59 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue. Ee Mungu, uniokoe na adui zangu, unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.
Osvobodi me pred mojimi sovražniki, oh moj Bog. Brani me pred tistimi, ki se dvigujejo zoper mene.
2 Uniponye na watu watendao mabaya, uniokoe kutokana na wamwagao damu.
Osvobodi me pred delavci krivičnosti in reši me pred krvoločnimi ljudmi.
3 Tazama wanavyonivizia! Watu wakali wananifanyia hila, ingawa Ee Bwana, mimi sijakosea wala kutenda dhambi.
Kajti, glej, za mojo dušo prežijo v zasedi, mogočni so se zbrali zoper mene; ne zaradi mojega prestopka niti ne zaradi mojega greha, oh Gospod.
4 Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia. Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!
Brez moje krivde tečejo in se pripravljajo. Zbudi se, da mi pomagaš in glej.
5 Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli! Zinduka uyaadhibu mataifa yote, usionyeshe huruma kwa wasaliti.
Ti torej, oh Gospod Bog nad bojevniki, Izraelov Bog, zbudi se, da obiščeš vse pogane. Z nobenim zlobnim prestopnikom ne bodi usmiljen. (Sela)
6 Hurudi wakati wa jioni, wakibweka kama mbwa, wakiuzurura mji.
Vračajo se zvečer, zganjajo hrup kakor pes in krožijo po mestu.
7 Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao, hutema upanga kutoka midomo yao, nao husema, “Ni nani atakayetusikia?”
Glej, s svojimi usti bruhajo, meči so na njihovih ustnicah, kajti pravijo: »Kdo sliši?«
8 Lakini wewe, Bwana, uwacheke; unayadharau mataifa hayo yote.
Toda ti, oh Gospod, se jim boš posmehoval, vse pogane boš imel v posmeh.
9 Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe, wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,
Zaradi njegove moči bom čakal nate, kajti Bog je moja obramba.
10 Mungu wangu unipendaye. Mungu atanitangulia, naye atanifanya niwachekelee wale wanaonisingizia.
Bog mojega usmiljenja me bo vodil. Bog mi bo dal videti mojo željo na mojih sovražnikih.
11 Lakini usiwaue, Ee Bwana, ngao yetu, au sivyo watu wangu watasahau. Katika uwezo wako wafanye watangetange na uwashushe chini.
Ne ubij jih, da ne bi moje ljudstvo pozabilo. Razkropi jih s svojo močjo in zlomi jih, oh Gospod, naš ščit.
12 Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao, kwa ajili ya maneno ya midomo yao, waache wanaswe katika kiburi chao. Kwa ajili ya laana na uongo wanaotamka,
Zaradi greha njihovih ust in besed njihovih ustnic naj bodo celó prijeti v svojem ponosu in za preklinjanje in laži, katere govorijo.
13 wateketeze katika ghadhabu, wateketeze hadi wasiwepo tena. Ndipo itakapofahamika katika miisho ya dunia kwamba Mungu anatawala juu ya Yakobo.
Použij jih v besu, použij jih, da jih ne bo in naj spoznajo, da Bog vlada v Jakobu do koncev zemlje. (Sela)
14 Hurudi jioni, wakibweka kama mbwa, wakiuzurura mji.
Zvečer naj se vrnejo in naj zganjajo hrup kakor pes ter krožijo po mestu.
15 Wanatangatanga wakitafuta chakula, wasipotosheka hubweka kama mbwa.
Naj se potikajo gor in dol za hrano in godrnjajo, če ne bodo nasičeni.
16 Lakini mimi nitaziimba nguvu zako, asubuhi nitaimba juu ya upendo wako; kwa maana wewe ndiwe ngome yangu na kimbilio langu wakati wa shida.
Toda jaz bom prepeval o tvoji moči, da, zjutraj bom na glas prepeval o tvojem usmiljenju, kajti ti si bil moja obramba in zatočišče na dan moje stiske.
17 Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa. Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu, Mungu unipendaye.
Tebi, oh moja moč, bom prepeval, kajti Bog je moja obramba in Bog mojega usmiljenja.