< Zaburi 59 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue. Ee Mungu, uniokoe na adui zangu, unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.
Dāvida sirds dziesma, pēc: „nesamaitā“; kad Sauls nosūtīja, vaktēt to namu, ka viņu nokautu. Izglāb mani, mans Dievs, no maniem ienaidniekiem, pasargi mani no tiem, kas pret mani ceļas.
2 Uniponye na watu watendao mabaya, uniokoe kutokana na wamwagao damu.
Izglāb mani no ļauna darītājiem un atpestī mani no asins ļaudīm.
3 Tazama wanavyonivizia! Watu wakali wananifanyia hila, ingawa Ee Bwana, mimi sijakosea wala kutenda dhambi.
Jo redzi tie glūn uz manu dvēseli, vareni sapulcējās pret mani, lai gan neesmu grēkojis nedz noziedzies, ak Kungs!
4 Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia. Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!
Bez vainas tie tek un sataisās. Uzmosties man palīgā un skaties!
5 Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli! Zinduka uyaadhibu mataifa yote, usionyeshe huruma kwa wasaliti.
Tu, ak Kungs, Dievs Cebaot, Israēla Dievs, uzmosties, piemeklēt visus pagānus, neapžēlojies par nevienu, kas tik viltīgi dodas uz netaisnību. (Sela)
6 Hurudi wakati wa jioni, wakibweka kama mbwa, wakiuzurura mji.
Vakarā tie atnāk, rūc kā suņi, un tekā(skraida) apkārt pa pilsētu.
7 Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao, hutema upanga kutoka midomo yao, nao husema, “Ni nani atakayetusikia?”
Redzi, tie ar savu muti plukšķ, zobeni ir viņu lūpās, jo - kas to dzird?
8 Lakini wewe, Bwana, uwacheke; unayadharau mataifa hayo yote.
Bet Tu, Kungs, par tiem smiesies, Tu apmēdīsi visus pagānus.
9 Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe, wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,
Pret viņu varu es gaidīšu uz Tevi, jo Dievs ir mans patvērums.
10 Mungu wangu unipendaye. Mungu atanitangulia, naye atanifanya niwachekelee wale wanaonisingizia.
Dievs man bagātīgi parāda Savu žēlastību, Dievs man liek ar prieku uzlūkot savus pretiniekus.
11 Lakini usiwaue, Ee Bwana, ngao yetu, au sivyo watu wangu watasahau. Katika uwezo wako wafanye watangetange na uwashushe chini.
Nenokauj tos, ka mani ļaudis to neaizmirst, izklīdini tos ar Savu varu, un nogāz tos, ak Kungs, mūsu priekšturamās bruņas!
12 Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao, kwa ajili ya maneno ya midomo yao, waache wanaswe katika kiburi chao. Kwa ajili ya laana na uongo wanaotamka,
Tīri grēks ir viņu lūpu vārdi, tāpēc lai tie top sagūstīti savā lepnībā, viņu lādēšanas un to melu pēc, ko tie runā.
13 wateketeze katika ghadhabu, wateketeze hadi wasiwepo tena. Ndipo itakapofahamika katika miisho ya dunia kwamba Mungu anatawala juu ya Yakobo.
Izdeldē tos dusmībā, izdeldē tos, ka to vairs nav, un lai atzīst, ka Dievs ir valdītājs iekš Jēkaba līdz pasaules galam. (Sela)
14 Hurudi jioni, wakibweka kama mbwa, wakiuzurura mji.
Vakarā tie atnāk, rūc kā suņi, un tekā apkārt pa pilsētu.
15 Wanatangatanga wakitafuta chakula, wasipotosheka hubweka kama mbwa.
Tie skraida šurp un turp barības pēc, un kad nav paēduši, paliek pa nakti.
16 Lakini mimi nitaziimba nguvu zako, asubuhi nitaimba juu ya upendo wako; kwa maana wewe ndiwe ngome yangu na kimbilio langu wakati wa shida.
Bet es dziedāšu no Tava stipruma un teikšu rītos Tavu žēlastību, jo Tu man esi bijis augsts patvērums un glābšana bēdu dienā.
17 Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa. Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu, Mungu unipendaye.
No Tevis es dziedāšu, mans stiprums, jo Tu, Dievs, esi mans patvērums, mans žēlīgais Dievs!

< Zaburi 59 >