< Zaburi 59 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue. Ee Mungu, uniokoe na adui zangu, unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.
Diosko, ispalennak kadagiti kabusorko, ikabilnak iti nangato nga adayo kadagiti bumusor kaniak.
2 Uniponye na watu watendao mabaya, uniokoe kutokana na wamwagao damu.
Salaknibannak kadagiti managdakdakes, ken isalakannak kadagiti lallaki a mawaw ti dara.
3 Tazama wanavyonivizia! Watu wakali wananifanyia hila, ingawa Ee Bwana, mimi sijakosea wala kutenda dhambi.
Ta kitaem, agur-urayda a mangsaneb tapno kettelenda ti biagko. Aguummong dagiti nabibileg a managdakdakes a maibusor kaniak, ngem saan a gapu iti panaglabsingko wenno basolko, O Yahweh.
4 Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia. Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!
Agsagsaganada a mangkamat kaniak uray no awan ti biddutko; agriingka, tulongannak ket kitaem.
5 Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli! Zinduka uyaadhibu mataifa yote, usionyeshe huruma kwa wasaliti.
Sika, O Yahweh a Dios a Mannakabalin, ti Dios ti Israel, bumangonka ket dusaem amin dagiti nasion, saanmo a kaasian dagiti nadangkes a managbasol. (Selah)
6 Hurudi wakati wa jioni, wakibweka kama mbwa, wakiuzurura mji.
Agsublida iti rabii, agtataguobda a kasla aso ken likmutenda iti siudad.
7 Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao, hutema upanga kutoka midomo yao, nao husema, “Ni nani atakayetusikia?”
Kitaem, agtabbaawda; adda kampilan kadagiti bibigda, ta kunkunaenda “Siasino ti makangngeg kadatayo?”
8 Lakini wewe, Bwana, uwacheke; unayadharau mataifa hayo yote.
Ngem katawaam ida O Yahweh, tenglem dagiti amin a nasion iti pannakaumsi.
9 Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe, wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,
O Dios, a pigsak, ipangagkanto; sika ti nangato a torrek.
10 Mungu wangu unipendaye. Mungu atanitangulia, naye atanifanya niwachekelee wale wanaonisingizia.
Isalakannakto ti Diosko babaen iti kinapudnona iti tulagna; ipakitanto ti Dios kaniak ti tartarigagayak kadagiti kabusorko.
11 Lakini usiwaue, Ee Bwana, ngao yetu, au sivyo watu wangu watasahau. Katika uwezo wako wafanye watangetange na uwashushe chini.
Saanmo ida a papatayen, ta amangan no manglipat dagiti tattaok. Warawaraem ida babaen iti pannakabalinmo ken dadaelem ida, O Apo a salaknibmi.
12 Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao, kwa ajili ya maneno ya midomo yao, waache wanaswe katika kiburi chao. Kwa ajili ya laana na uongo wanaotamka,
Gapu kadagiti basol dagiti ngiwatda ken dagiti ibalikas dagiti bibigda, bay-am a matiliwda gapu iti kinapannakelda, ken kadagiti lunod ken inu-ulbod nga iyeb-ebkasda.
13 wateketeze katika ghadhabu, wateketeze hadi wasiwepo tena. Ndipo itakapofahamika katika miisho ya dunia kwamba Mungu anatawala juu ya Yakobo.
Dadaelem ida iti pungtotmo, dadaelem ida tapno mapukawda; Ipakaammom kadakuada nga agturturay ti Dios kenni Jacob ken iti amin a daga. (Selah)
14 Hurudi jioni, wakibweka kama mbwa, wakiuzurura mji.
Iti rabii pagsubliem ida, pagtaguobem ida a kasla aso a mangliklikmut iti siudad.
15 Wanatangatanga wakitafuta chakula, wasipotosheka hubweka kama mbwa.
Agsursordanto nga agbiruk ti makan ken agpatpatnag nga agurayda no saanda a napnek.
16 Lakini mimi nitaziimba nguvu zako, asubuhi nitaimba juu ya upendo wako; kwa maana wewe ndiwe ngome yangu na kimbilio langu wakati wa shida.
Ngem agkantaakto iti maipapan iti bilegmo; ta sika ti nangato a torrek ken pagkamangak iti aldaw ti panagkapsutko.
17 Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa. Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu, Mungu unipendaye.
Sika ti pigsak, agkantaak kadagiti pagdaydayaw; ta ti Dios ti nangato a torrek, ti Dios a napudno iti tulag.

< Zaburi 59 >