< Zaburi 57 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni. Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie, kwa maana nafsi yangu inakukimbilia. Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia mpaka maafa yapite.
Para o músico chefe. Ao som da música “Não Destruir”. Um poema de David, quando ele fugiu de Saul, na caverna. Tenha misericórdia de mim, Deus, tenha misericórdia de mim, pois minha alma se refugia em você. Sim, na sombra de suas asas, eu me refugiarei, até que o desastre tenha passado.
2 Namlilia Mungu Aliye Juu Sana, Mungu atimizaye makusudi yake kwangu.
Eu clamo a Deus Altíssimo, a Deus que atende aos meus pedidos por mim.
3 Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa, akiwakemea wale wanaonifuatilia vikali; Mungu huutuma upendo wake na uaminifu wake.
Ele enviará do céu, e me salvará, ele repreende aquele que me persegue. (Selah) Deus enviará sua bondade amorosa e sua verdade.
4 Niko katikati ya simba, nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu: watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, ambao ndimi zao ni panga kali.
Minha alma está entre os leões. Eu estou entre aqueles que são incendiados, mesmo os filhos dos homens, cujos dentes são lanças e flechas, e sua língua uma espada afiada.
5 Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu, utukufu wako na uenee duniani kote.
Seja exaltado, Deus, acima dos céus! Que sua glória esteja acima de toda a terra!
6 Waliitegea miguu yangu nyavu, nikainamishwa chini na dhiki. Wamechimba shimo katika njia yangu, lakini wametumbukia humo wao wenyewe.
Eles prepararam uma rede para meus passos. Minha alma está curvada. Eles cavam um buraco diante de mim. Eles próprios caem no meio dela. (Selah)
7 Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
Meu coração está firme, Deus. Meu coração está firme. Cantarei, sim, cantarei louvores.
8 Amka, nafsi yangu! Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
Wake acima, minha glória! Acorde, alaúde e harpa! Vou acordar o amanhecer.
9 Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
Eu te darei graças, Senhor, entre os povos. Cantarei louvores a vocês entre as nações.
10 Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni, uaminifu wako unazifikia anga.
Pois sua grande bondade amorosa chega até os céus, e sua verdade para os céus.
11 Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni, utukufu wako na uwe duniani pote.
Seja exaltado, Deus, acima dos céus. Que sua glória esteja sobre toda a terra.

< Zaburi 57 >