< Zaburi 57 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni. Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie, kwa maana nafsi yangu inakukimbilia. Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia mpaka maafa yapite.
Gode! Nama asigima! Nama asigima! Bai na da Dima gaga: su lamusa: ne maha. Dia ougiaha baba gala: i amoga na da gaga: su ba: su. Amogai esaleawane mulu maha gulubagebe amo dagoiba: le fawane yolesimu.
2 Namlilia Mungu Aliye Juu Sana, Mungu atimizaye makusudi yake kwangu.
Na da Gadodafa Godema wele sia: sa. Bai E da na wali esaloma: ne lamu liligi defele nama iaha.
3 Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa, akiwakemea wale wanaonifuatilia vikali; Mungu huutuma upendo wake na uaminifu wake.
E da Hebenega amogainini nama dabe adole imunu amola na gaga: mu. E da nama banenesi dunu ili hasalimu. Gode da nama Ea mae fisili asigidafa hou olelemu.
4 Niko katikati ya simba, nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu: watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, ambao ndimi zao ni panga kali.
Nama ha lai dunu ilia na eale sisiga: le disisa. Ilia da laione wa: me amo da dunu fane manusa: hanai agoai. Ilia bese da goge agei amola dadi agoai gala. Amola ilia gona: su da gegesu gobihei ageisoi agoai galebe.
5 Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu, utukufu wako na uenee duniani kote.
Gode! Dia gasa bagade hou amo mu da: iya olelema! Amola Dia hadigi hou osobo bagade fifi asi gala huluane ilima olelema.
6 Waliitegea miguu yangu nyavu, nikainamishwa chini na dhiki. Wamechimba shimo katika njia yangu, lakini wametumbukia humo wao wenyewe.
Nama ha lai dunu da na sa: ima: ne efe gelesi dagoi. Na da se bagade nababeba: le, gala: la sa: i agoai ba: sa. Ilia da na sa: ima: ne uli dogonesi. Be ilia da ili gobele ilila: amoga sa: i dagoi.
7 Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
Gode! Na da Dima dafawaneyale dawa: i dagoi. Na da Dima nodosa gesami hea: mu amola Dima nodomu.
8 Amka, nafsi yangu! Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
Na a: silibu! Nedigima! Na sani baidama amola na ‘laia’ dusu liligi! Nedigima! Na da amoga eso didilisimu!
9 Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
Hina Gode! Na da fifi asi gala amo ganodini Dima nodomu! Na da dunu fifi asi gala huluane amo ganodini Dima nodone sia: mu.
10 Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni, uaminifu wako unazifikia anga.
Dia mae fisili asigidafa hou da muagado doaga: sa! Dia hame fisisu hou da muagado digila heda: sa!
11 Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni, utukufu wako na uwe duniani pote.
Gode! Dia gasa bagade hou amo muagado ganodini olelema! Amola Dia hadigi hou amo osobo bagade fifi asi gala dunu huluane ba: ma: ne, olelema!

< Zaburi 57 >