< Zaburi 56 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Njiwa mkimya wa mbali.” Utenzi wa Daudi. Baada ya kukamatwa na Wafilisti huko Gathi. Ee Mungu unihurumie, maana watu wananifuatia vikali; mchana kutwa wanazidisha mashambulizi yao.
[Psalm lal David, Tukun Mwet Philistia Sruokol in acn Gath] Pakomutuk, O God, Tuh mwet lokoalok luk elos ukweyu, Elos kalyeiyu in pacl e nukewa.
2 Wasingiziaji wangu wananifuatia mchana kutwa, wengi wananishambulia kwa kiburi chao.
Mwet su srungayu elos lainyu len fon; Arulana pus mwet anwuk lainyu inge.
3 Wakati ninapoogopa, nitakutumaini wewe.
Ke pacl nga pula sangeng, O LEUM GOD Kulana, Nga filiya lulalfongi luk in kom.
4 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu, katika Mungu ninatumaini; sitaogopa. Mwanadamu apatikanaye na kufa, atanitenda nini?
Nga lulalfongi God, ac tiana sangeng; Nga kaksakunul ke wulela lal nu sik. Mea mwet ac ku in oru nu sik?
5 Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu, siku zote wanapanga shauri la kunidhuru.
Mwet lokoalok luk aklokoalokyeyu ke len fon; Pacl nukewa elos suk na ma in akkolukyeyu!
6 Wananifanyia hila, wanajificha, wanatazama hatua zangu, wakiwa na shauku ya kuutoa uhai wangu.
Elos tukeni ke nien wikwik Ac tawi ma nukewa nga oru, Ac kena uniyuwi.
7 Wasiepuke kwa vyovyote, Ee Mungu, katika hasira yako yaangushe mataifa.
Kaelos, O God, ke ma koluk lalos inge; Ac kutangulosla in kasrkusrak lom!
8 Andika maombolezo yangu, orodhesha machozi yangu katika gombo lako: je, haya hayapo katika kumbukumbu zako?
Kom etu lupan fosrnga luk; Kom etu lupan tung luk. Ya ma inge tia simla in book nutum?
9 Ndipo adui zangu watarudi nyuma ninapoita msaada. Kwa hili nitajua kwamba Mungu yuko upande wangu.
Ke len se nga pang nu sum uh, Mwet lokoalok luk elos ac folokelik likiyu. Ma se na nga etu uh pa God El wiyu —
10 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu, katika Bwana, ambaye neno lake ninalisifu,
Aok, LEUM GOD su nga kaksakin wulela la.
11 katika Mungu ninatumaini, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
Nga lulalfongi in El, ac nga ac fah tiana sangeng. Mea mwet ac ku in oru nu sik?
12 Ee Mungu, nina nadhiri kwako, nitakutolea wewe sadaka zangu za shukrani.
O God, nga ac fah asot nu sum ma su nga wulela kac; Nga ac fah oru mwe kisa in fahkak kulo luk nu sum,
13 Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti na miguu yangu kwenye kujikwaa, ili niweze kuenenda mbele za Mungu katika nuru ya uzima.
Mweyen kom moliyula liki misa Ac sruokyuwi tuh in tia kutangyukla nga. Inge nga fahsr ye mutun God Ke kalem su sang moul nu sin mwet uh.

< Zaburi 56 >