< Zaburi 56 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Njiwa mkimya wa mbali.” Utenzi wa Daudi. Baada ya kukamatwa na Wafilisti huko Gathi. Ee Mungu unihurumie, maana watu wananifuatia vikali; mchana kutwa wanazidisha mashambulizi yao.
Maasika kaniak, O Dios, ta kayatnak nga alun-onen ti maysa a tao; agmalmalem a dardarupen ken idaddadanesnak.
2 Wasingiziaji wangu wananifuatia mchana kutwa, wengi wananishambulia kwa kiburi chao.
Agmalmalem a kayatdak nga alun-onen dagiti kabusorko; ta adu dagiti natangsit a dumarup kaniak.
3 Wakati ninapoogopa, nitakutumaini wewe.
No mabutengak, agtalekak kenka.
4 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu, katika Mungu ninatumaini; sitaogopa. Mwanadamu apatikanaye na kufa, atanitenda nini?
Iti Dios, a daydayawek ti saona—agtalekak iti Dios; saanakto nga agbuteng; ania ti mabalin nga aramiden ti tao kaniak?
5 Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu, siku zote wanapanga shauri la kunidhuru.
Agmalmalem a baliktadenda dagiti sasaok; amin a panagpanpanunotda ket maibusor kaniak para iti pakadaksan.
6 Wananifanyia hila, wanajificha, wanatazama hatua zangu, wakiwa na shauku ya kuutoa uhai wangu.
Agu-ummongda, aglemmengda, ket sipsiputanda amin nga addangko, a kas iti panangurayda iti biagko.
7 Wasiepuke kwa vyovyote, Ee Mungu, katika hasira yako yaangushe mataifa.
Saanmo nga ipalubos a makalibasda nga agar-aramid iti kinadakes. Ipababam dagiti tattao iti ungetmo, O Dios.
8 Andika maombolezo yangu, orodhesha machozi yangu katika gombo lako: je, haya hayapo katika kumbukumbu zako?
Bilangem dagiti pannakaiyaw-awanko ken ikabilmo dagiti luluak iti boteliam; saanda aya a nailista iti bukodmo a libro?
9 Ndipo adui zangu watarudi nyuma ninapoita msaada. Kwa hili nitajua kwamba Mungu yuko upande wangu.
Ket agsanudto dagiti kabusorko iti aldaw nga umawagak kenka; daytoy ti ammok, adda ti Dios kaniak.
10 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu, katika Bwana, ambaye neno lake ninalisifu,
Iti Dios, a daydayawek ti saona—kenni Yahweh, a daydayawek ti saona—
11 katika Mungu ninatumaini, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
Agtalekak iti Dios; saanakto nga agbuteng, ania ti mabalin nga aramidek ti tao kaniak?
12 Ee Mungu, nina nadhiri kwako, nitakutolea wewe sadaka zangu za shukrani.
Adda kaniak ti pagrebbengan a mangtungpal kadagiti karik kenka, O Dios; agidatonakto iti pagyamanko kenka.
13 Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti na miguu yangu kwenye kujikwaa, ili niweze kuenenda mbele za Mungu katika nuru ya uzima.
Ta inispalmo ti biagko manipud iti patay; inlisim dagiti sakak manipud iti pannakatinnag, tapno makapagnaak iti sangoanan ti Dios iti lawag ti sibibiag.

< Zaburi 56 >