< Zaburi 56 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Njiwa mkimya wa mbali.” Utenzi wa Daudi. Baada ya kukamatwa na Wafilisti huko Gathi. Ee Mungu unihurumie, maana watu wananifuatia vikali; mchana kutwa wanazidisha mashambulizi yao.
A karmesternek. Távoli néma galamb szerint. Dávidtól dal. Midőn elfogták őt a filiszteusok Gátban. Kegyelmezz nekem, Isten, mert lihegett rám ember, egész nap szorít engem harczoló.
2 Wasingiziaji wangu wananifuatia mchana kutwa, wengi wananishambulia kwa kiburi chao.
Lihegtek meglesőim egész nap, mert sokan küzdenek ellenem nagyfennen.
3 Wakati ninapoogopa, nitakutumaini wewe.
A mely napon félnem kell, én te benned bízom.
4 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu, katika Mungu ninatumaini; sitaogopa. Mwanadamu apatikanaye na kufa, atanitenda nini?
Isten által dicsérhetem igéjét, Istenben bízom, nem félek: mit tehet halandó nekem?
5 Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu, siku zote wanapanga shauri la kunidhuru.
Egész nap bántják dolgaimat, ellenem vannak mind az ő gondolataik, rosszra.
6 Wananifanyia hila, wanajificha, wanatazama hatua zangu, wakiwa na shauku ya kuutoa uhai wangu.
Összesereglenek, kémlelnek, sarkaimat lesik ők, a midőn lelkemre törtek.
7 Wasiepuke kwa vyovyote, Ee Mungu, katika hasira yako yaangushe mataifa.
Jogtalanságért szabadulásuk legyen? Haragban döntsd le a népeket, Isten!
8 Andika maombolezo yangu, orodhesha machozi yangu katika gombo lako: je, haya hayapo katika kumbukumbu zako?
Bujdosásomat te megszámláltad, tedd könnyemet tömlődbe! Nemde könyvedben vannak!
9 Ndipo adui zangu watarudi nyuma ninapoita msaada. Kwa hili nitajua kwamba Mungu yuko upande wangu.
Akkor hátra fordulnak ellenségeim. a mely napon felkiáltok; ezt tudom: hogy Isten mellettem van.
10 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu, katika Bwana, ambaye neno lake ninalisifu,
Isten által dicsérhetem az igét, az Örökkévaló által dicsérhetem az igét! -
11 katika Mungu ninatumaini, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
Istenben bizom, nem félek mit tehet ember nekem?
12 Ee Mungu, nina nadhiri kwako, nitakutolea wewe sadaka zangu za shukrani.
Rajtam, oh Isten, fogadalmaid, hálaáldozatokat fizetek neked;
13 Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti na miguu yangu kwenye kujikwaa, ili niweze kuenenda mbele za Mungu katika nuru ya uzima.
mert megmentetted lelkemet a haláltól, nemde lábaimat is a taszítástól, hogy járhassak Isten előtt az élet világosságában.

< Zaburi 56 >