< Zaburi 55 >

1 Kwa mwimbishaji. Na ala za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Ee Mungu, sikiliza maombi yangu, wala usidharau hoja yangu.
Gode! Na sia: ne gadobe nabima! Na Dima edegebe amo mae yolesima!
2 Nisikie na unijibu. Mawazo yangu yananisumbua na nimehangaishwa
Na sia: nabima amola na sia: be goea bu dabe adole ima. Na da gufia: ne hamoiba: le, gasa hame gala.
3 kwa sauti ya adui, kwa kukaziwa macho na waovu, kwa sababu wananiletea mateso juu yangu na kunitukana kwa hasira zao.
Nama ha lai da nama magagibiba: le, na da bagade beda: i. Wadela: i hamosu dunu da na banenesibiba: le, na da gala: la sa: i dagoi. Ilia da nama bidi hamosu gaguli maha. Ilia da nama ougi gala amola na higasa.
4 Moyo wangu umejaa uchungu, hofu ya kifo imenishambulia.
Na da baligili beda: i. Na da bogosa: besa: le bagade beda: i, amola banenesi dagoi ba: sa.
5 Woga na kutetemeka vimenizunguka, hofu kuu imenigharikisha.
Na da beda: ga yagugulala. Na da beda: ne se nabasu amoga gagulaligi.
6 Nilisema, “Laiti ningekuwa na mbawa za njiwa! Ningeruka niende mbali kupumzika.
Na da ougia hamoi ‘dafe’ sio agoai ganeya: be. Amai ganiaba, na da amoga hagili asili, helefimu soge hogola: loba.
7 Ningalitorokea mbali sana na kukaa jangwani,
Na da hagili badiliadafa hafoga: i sogega fifi lasu hamona: noba.
8 ningaliharakisha kwenda mahali pa salama, mbali na tufani kali na dhoruba.”
Na da fo amola mulu gulubagebe amoga fasa: besa: le, ougiha wamoaligimusa: hedolowane fimusa: hogola: loba.
9 Ee Bwana, uwatahayarishe waovu na uwachanganyishie semi zao, maana nimeona jeuri na ugomvi mjini.
Hina Gode! Nama ha lai dunu ilia sia: mu liligi huluane ededenanesima! Na da moilai bai bagade ganodini, gegesu amola bidi hamosu bagadewane ba: lala.
10 Usiku na mchana wanazunguka juu ya kuta zake, uovu na dhuluma vimo ndani yake.
Amo bidi hamosu da bagadeba: le, gasia amola hayoga fedege agoane moilai bai bagade sisiga: le disisa.
11 Nguvu za uharibifu zinatenda kazi mjini, vitisho na uongo haviondoki mitaani mwake.
Gugunufinisi hou da soge huluane ganodini ba: sa. Moilai bai bagade logo da banenesisu hou amola fedele wamolasu amoga nabai gala.
12 Kama aliyenitukana ni adui yangu, ningevumilia, kama mtu mwovu angejiinua dhidi yangu, ningejificha asinione.
Be nama ha lai dunu da nama lasogole sia: sa ganiaba, na da hame da: i dione dawa: la: loba. Amola nama dabesu dunu da nama hidale sia: sa ganiaba, na da ema hobeale wamoaligimu dawa: la: loba.
13 Kumbe ni wewe, mwenzangu, mshiriki na rafiki yangu wa karibu,
Be di, na dogolegei sama disu da nama lasogole amola hidale sia: nana.
14 ambaye awali tulifurahia ushirika mzuri, tulipokuwa tukienda na umati hekaluni mwa Mungu.
Ani da musa: gilisili osodogone sia: dasu. Ania da Debolo ganodini Godema nodone sia: ne gadosu.
15 Kifo na kiwajie adui zangu ghafula, na washuke kuzimu wangali hai, kwa maana uovu upo ndani yao. (Sheol h7585)
Nama ha lai dunu ilia da ilia bogosu eso mae doaga: le, bogomu da defea. Ilia da esaleawane, bogoi sogega gudu sa: imu da defea. Wadela: i hou da ilia diasu gaguli gagai amola ilia dogo amo ganodini dialebe ba: sa. (Sheol h7585)
16 Lakini ninamwita Mungu, naye Bwana huniokoa.
Be na da Hina Godema, na fidima: ne wele sia: sa. Amasea, E da na gaga: mu.
17 Jioni, asubuhi na adhuhuri ninalia kwa huzuni, naye husikia sauti yangu.
Hahabe amola esomogoa amola gasia, na egasu sia: amola na gogonomosu da Ema heda: sa. Amola E da na sia: nabimu.
18 Huniokoa nikawa salama katika vita vilivyopangwa dhidi yangu, ingawa watu wengi hunipinga.
Na da nama ha lai dunu bagohame ilima gegena ahoa. Be Hina Gode da na gaga: iwane bu goeguda: oule misunu.
19 Mungu anayemiliki milele, atawasikia na kuwaadhibu, watu ambao hawabadilishi njia zao, wala hawana hofu ya Mungu.
Gode da musa: hemoneganini, ouligisa mana wali doaga: i. E da na sia: nabimu amola nama ha lai dunu ili hasalimu. Bai ilia da afadenemu higasa amola Godema hame beda: sa.
20 Mwenzangu hushambulia rafiki zake, naye huvunja agano lake.
Na musa: dogolegei sama da ea sama ili amo doagala: le, amola e da ea ilelegele sia: i amo fi dagoi.
21 Mazungumzo yake ni laini kama siagi, hata hivyo vita vimo moyoni mwake. Maneno yake ni mororo kuliko mafuta, hata hivyo ni upanga mkali uliofutwa.
Ea sia: da ha: i manu gugui defele nabi. Be ea dogo ganodini, ougili higasu fawane galu. Ea sia: da susuligi noga: i defele nabi. Be amo sia: da gegesu gobihei agesoi defele, fa: ginisi.
22 Mtwike Bwana fadhaa zako, naye atakutegemeza, hatamwacha kamwe mwenye haki wake aanguke.
Dilia! Dilia da: i dioi amola se nabasu huluane amo Godema yolesima. Amasea, E da dili gaga: mu. Ea fidibiba: le, moloidafa dunu da hamedafa hasali dagoi ba: sa.
23 Lakini wewe, Ee Mungu, utawashusha waovu katika shimo la uharibifu. Wenye kiu ya kumwaga damu na wenye hila, hawataishi nusu ya siku zao. Lakini mimi ninakutumaini wewe.
Be Di, Gode! Di da amo fane legesu dunu amola wamolasu dunu amo fane legemu. Ilia esalusu dogoa hame doaga: i galeawane, Di da ili bogoi uli dogosu sogebi amoga oule masunu. Be amomane na da Dima fawane dafawaneyale dawa: mu.

< Zaburi 55 >