< Zaburi 54 >

1 Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
O! Dios, sálvame en tu nombre, y con tu valentía me defiende.
2 Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
O! Dios, oye mi oración, escucha las razones de mi boca.
3 Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
Porque extraños se han levantado contra mí, y fuertes han buscado a mi alma: no han puesto a Dios delante de si. (Selah)
4 Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
He aquí, Dios es el que me ayuda; el Señor es con los que sustentan mi vida.
5 Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
El volverá el mal a mis enemigos; córtalos por tu verdad.
6 Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
Voluntariamente sacrificaré a ti; alabaré tu nombre, o! Jehová, porque es bueno.
7 Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.
Porque me ha escapado de toda angustia, y en mis enemigos vieron mis ojos la venganza.

< Zaburi 54 >